Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
Kama mkuu wa wilaya tu na mashangingi mixer ving'oraHuwa wanalipwa sh ngapi kwa mwezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mkuu wa wilaya tu na mashangingi mixer ving'oraHuwa wanalipwa sh ngapi kwa mwezi
[emoji38][emoji38][emoji38]Hivi alishafanikiwa kumroga Mange Kimambi?
Kavunja ndoa ya Mwaka. Unataka uhakika gani teba?Tuhuma za uzinzi una uhakika nazo?
Ametenguliwa au mission yake imeisha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya Alhad Mussa Salim kutenguliwa nafasi ya kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam huku nafasi yake ikichukuliwa na Sheikh Walid Omary ambaye amekainishwa nafasi hiyo, Alhad Mussa Salim amesema ataendelea kuwa ndani ya baraza katika nafasi nyingine.
Amesema “Sijapewa taarifa rasmi lakini sina sababu ya kukata rufaa, ni maamuzi ya Baraza, ni chombo chetu tumekiweka na kina mamlaka ya kufanya hivyo, maamuzi ya wao kunitengua sijui wataitaja wao lakini haina shida.”
Chanzo: Clouds FM
Akifanya spinning mzigo unakuwa mkubwaHuwa wanalipwa sh ngapi kwa mwezi
AminHuyu sheikh hafai hata kulumangia!
Amefaidi sana hela za shetani Magufuli!
Fedha haram alizopata kwa mateso ya watu wengine zimeanza kumtokea puani! Na sasa anaelekea kumfuata mwenzake jehanam.
Huyo kashaharibu katika ulimwengu wa roho hawa jamaa shirk ndio mchezo wao ukiharibu umekwisha.Baada ya Alhad Mussa Salim kutenguliwa nafasi ya kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam huku nafasi yake ikichukuliwa na Sheikh Walid Omary ambaye amekainishwa nafasi hiyo, Alhad Mussa Salim amesema ataendelea kuwa ndani ya baraza katika nafasi nyingine.
Amesema “Sijapewa taarifa rasmi lakini sina sababu ya kukata rufaa, ni maamuzi ya Baraza, ni chombo chetu tumekiweka na kina mamlaka ya kufanya hivyo, maamuzi ya wao kunitengua sijui wataitaja wao lakini haina shida.”
Chanzo: Clouds FM
sasa aingie kwenye siasa rasmi kwa sababu humkosi kweye uchawa wa ccmBaada ya Alhad Mussa Salim kutenguliwa nafasi ya kuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam huku nafasi yake ikichukuliwa na Sheikh Walid Omary ambaye amekainishwa nafasi hiyo, Alhad Mussa Salim amesema ataendelea kuwa ndani ya baraza katika nafasi nyingine.
Amesema “Sijapewa taarifa rasmi lakini sina sababu ya kukata rufaa, ni maamuzi ya Baraza, ni chombo chetu tumekiweka na kina mamlaka ya kufanya hivyo, maamuzi ya wao kunitengua sijui wataitaja wao lakini haina shida.”
Chanzo: Clouds FM
Mange ndio ushahidi? Haya madai ni mazito mno. Sijui kwanini watu tunajibebesha mizigo mizito mno kwenda nayo kwa Allah. Ukienda kuulizwa utatoa ushahidi?Mange alitoa ushahidi lukuki wa uzinzi wa huyu shekhe. Unekuja lini mjini mkuu? MangeKimambi akaenda mbali zaidi na kusema shekhe anapakuliwa pia. Hukumbuki ama ulikuwa huna smartphone?
ulikua unamshikia miguu wakati anazini ?Shekhe ana mdomo mchafu.
Shekhe ni mzinzi mpk anavunja ndoa za watu??
Uchawi hauvuki bahariHivi alishafanikiwa kumroga Mange Kimambi?
Karogwa yeye😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi alishafanikiwa kumroga Mange Kimambi?