Sheikh wa Dar es Salaam aliyetenguliwa asema hana mpango wa kukata rufaa

Sheikh wa Dar es Salaam aliyetenguliwa asema hana mpango wa kukata rufaa

Kavunja ndoa ya Mwaka. Unataka uhakika gani teba?

Mange alitoa ushahidi lukuki wa uzinzi wa huyu shekhe. Unekuja lini mjini mkuu? MangeKimambi akaenda mbali zaidi na kusema shekhe anapakuliwa pia. Hukumbuki ama ulikuwa huna smartphone?
Msikilize huyu eti umekuja lini mjini?

Mimi sio wa kuja kma ww wa kutoka huko nga'mbo

Yni ni just ujinga ulonao ety mange kasema

Kwaio na mimi nikisema ww upo hivi na vile kwaio tyr ndo upo hivo?

Tukienda mahakamani una ushahidi tosha wa ulisemalo?

Nb."Words spoken has power"
 
Back
Top Bottom