Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooooo!!!!Awazuie basi na kulewa maana nao wanakunywa balaa
ana ILIMUAnaelimu gani huyo sheikh?
Basi nilitaka nimlaumu bure ningetenda dhambi.. shida ni hiyo ILMU.ana ILIMU
Sheikh hayupo sahihi. Alcohol ni "pure" siyo najisi na haitengui udhu wala swala labda uwe umeinywa kwa kuelewa kuwa unainywa ili ulewe. Hakuna anaekunywa sanitizer, unajipaka au kujipulizia tu na si kwa sababu ya kulewa.View attachment 1439997
Sheikh Mohamed kombora amewaasa waumini wa Kiislam wa wilaya ya Tanga kuacha matumizi ya vitakasa mikono ( Sanitizer ) kabla ya swala maana vina kilevi kwa zaidi ya 60% na kwamba wakitumia watanajisi swala zao.
Chanzo : EA TV
Nakala : FaizaFoxy
Unapotea siku hizi!!!!Sheikh hayiipo sahihi. Alcohol no "pure" diyonajisina haitengui udhu wala salary labda uwe umeinywa kwa kuelewa kuwa unainywa ili ulewe. Hakuna anaekunwa sanitizer, unajipa au kujipulizia tu na si kwa sababu ya kulewa.
Huyu ndiyo wale wanaoharamisha ambavyo havijaharamishwa na Allah.
wacha wafu wazike wafu wao! Kuna vitu vingine huwezi kuvitetea, kuvisemea. acha kila mmoja na lwake .. Acha wanaoamini kusali walundikane, wanaoamini social distancing waamini etcView attachment 1439997
Sheikh Mohamed kombora amewaasa waumini wa Kiislam wa wilaya ya Tanga kuacha matumizi ya vitakasa mikono ( Sanitizer ) kabla ya swala maana vina kilevi kwa zaidi ya 60% na kwamba wakitumia watanajisi swala zao.
Chanzo : EA TV
Nakala : FaizaFoxy
Kila mmoja atahukumiwa kivyake. Atakaesalia kwake akiwa na nia ya hucho anacho kifanya Mungu atamlipa kulingana na nia yake overwacha wafu wazike wafu wao! Kuna vitu vingine huwezi kuvitetea, kuvisemea. acha kila mmoja na lwake .. Acha wanaoamini kusali walundikane, wanaoamini social distancing waamini etc
Je wanazitumia kama kinga au starehe? Vitu vingine vinahitaji simple logic tu mbona?View attachment 1439997
Sheikh Mohamed kombora amewaasa waumini wa Kiislam wa wilaya ya Tanga kuacha matumizi ya vitakasa mikono ( Sanitizer ) kabla ya swala maana vina kilevi kwa zaidi ya 60% na kwamba wakitumia watanajisi swala zao.
Chanzo : EA TV
Nakala : FaizaFoxy
Tupe mbinu za jinsi ulivyoweza kusoma, kubobea na kuhitimu ujinga huko shuleni.Sheikh hayiipo sahihi. Alcohol no "pure" diyonajisina haitengui udhu wala salary labda uwe umeinywa kwa kuelewa kuwa unainywa ili ulewe. Hakuna anaekunwa sanitizer, unajipa au kujipulizia tu na si kwa sababu ya kulewa.
Huyu ndiyo wale wanaoharamisha ambavyo havijaharamishwa na Allah.
Toeni elimu kwa maustadhi wenu na maulamaa!!Sheikh hayiipo sahihi. Alcohol no "pure" diyonajisina haitengui udhu wala salary labda uwe umeinywa kwa kuelewa kuwa unainywa ili ulewe. Hakuna anaekunwa sanitizer, unajipa au kujipulizia tu na si kwa sababu ya kulewa.
Huyu ndiyo wale wanaoharamisha ambavyo havijaharamishwa na Allah.
Hakuna mlevi anayeingia msikitiniAwazuie basi na kulewa maana nao wanakunywa balaa
Hakuna muislam anae kunywa (pombe) alafu akaingia kwenye swala.Awazuie basi na kulewa maana nao wanakunywa balaa