Sheikh wa Wilaya ya Tanga awaomba waumini kutotumia Sanitizer kabla ya swala maana ina kilevi

Hata sabuni wanazotumia zina kilevi sijui wataepukaje kunajisika. Dini za kimwili matatizo kweli.
 
Vita vitani, vita vya kutokomeza Covid19 inapokumbana na vita
 
Na perfume wasipulize
Hiyo mask ni ya watoto ama maana imefunika mdomo tu [emoji2957]


Sent from my iPhone using Tapatalk
shehe anapenda sana,kuvaa mlegezo.

Kofia kavaa mlegezo
Barakoa mlegezo
...... Nayo itakua,mlegezo
 
Shehe kafeli parefu sana. Matumizi ya sanitaiza ni kunywa au tiba ya kujinusuru na maambukizi ya magonjwa nyemelezi
 
Barakoa yenyewe ilivyovaliwa daa, kama unaulewa wako unajikinga mwenyewe hiyo kutwa nzima unashika mangapi hizi elimu, ila anaonekana tu wala huwezi umiza kichwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukajipaka KVAnt halafu ukaingia msikitini kuswali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio madhara ya kuandika huku unapiga nyungu sasa ndo umeandika nini?

Hayiipo
Diyonajisina
Salary
Anaekunwa
Unajipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bibi unakimbilia wapi? Hebu kaa chini urudie kusoma ulichoandika. Shule ulienda kujifundisha ujinga au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…