busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,577
hii khabari kuisoma kwanza mpaka nikatafte ghahwa kidoogo,,
Umeskia sana bwana,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeskia sana bwana,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Magomeni utakuta mtaa wake.kuna watu wamekufa mpaka leo majina yao yanatajwa tu hata bila kutangazwa kwenye vyombo vya habari..
mfano azizi Ally huyu jamaa dareslam hakuna asolijua jina hili,
na wengineo kina mburahati..
lakini makhabithi mfano wa huyu ambae alikuwa anajiita shekhe yahya. wakifa wanakufa na majina yao
Kitu ninacho kumbuka kwa sheikh yahaya,,wakati nikiwa mdogo tulikua na timu yetu ya soka siku za weekend huwa tunakimbia pembezoni mwa barabara,
Sasa tukikutana nae alfajiri anatembea peku bila viatu pembezoni mwa barabara hicho kitendo kilinishangaza sana,
Wakati huo sheikh ana range ya milango 6 alafu anatembea peku na umaarufu wote ule alionao,,
Pia kipindi hicho tv zilikua chache sana,,nyumbani kwake pale kinondoni mkwajuni karibu na shule ya mwongozo alikua anaweka tv kubwa sana,
watu kutoka maeneo tofauti wanajazana kuangalia.
Yote kwa yote alikua mtu mwema sana mwenye hekima,,ni miongoni mwa masheikh bora sana,mtulivu sana na mpole
Mpaka mapambano ya boxing alikua akionyesha live bila chenga,,Du Umenikumbusha mbali. Mpira pale tumeangalia sana. Wakati huo hakuna television sehemu nyingine. Nakumbuka siku moja ilikuwa mecha kali sana (kama nakumbuka vizuri ilikuwa ni fainal za UEFA Euro Champinionship. Walikuwa wanacheza Denmark na Ujerumani.
Watu walikuwa wamejaa mapka wazungu kutoka Masaki kuja kuangalia. Basi karibia mpira ulipokuwa unaanza TV ikagoma. Yeye alikuwa ndani na kulikuwa na jamaa wengine wana set. Watu tukawa tumenyong'onyea kweli. Mara Sheikh Yahaya akatoka ndani. Akakunja kanzu yake akaanza kupanda ngazi (TV ilikuwa imewekwa kwa juu, kabisa usawa wa paa la nyumba. Akabonyeza kitufe.... mara wau... TV ikawaka ikanza kuonyesha mpira. Kila mtu alishangilia kwa nguvu sana.
Pole sana mkuuNikweli Mzee wangu ila huyu mwanae alie baki ni tapeli hana uwezo huo wa babake.kanitapeli pesa angu huku naona ushahidi ninao
Nani kaw yahy au big broNikweli Mzee wangu ila huyu mwanae alie baki ni tapeli hana uwezo huo wa babake.kanitapeli pesa angu huku naona ushahidi ninao
Jamaa alidedi akiwa tajiri lakini kwa upande wa dini sidhani kama aliyoyafanya yalimpendeza muumba wake, mambo aliyoyafanya mengi yalikuwa ya kishirikina, hope alikufa akiwa sio mshirikina (alitubia)kiuchumi alikufa akiwa na hali gani?
Kakufanyaje mkuuNikweli Mzee wangu ila huyu mwanae alie baki ni tapeli hana uwezo huo wa babake.kanitapeli pesa angu huku naona ushahidi ninao
Kani Tapeli pesa angu
Kani Tapeli pesa angu
Kivipi?Kuna member hapa alitoa ya moyoni jinsi Mnajimu Yahya Hussein alivyommaliza.