HUYU KASEMA HIVI.... "Ulichokifanya si sahihi katika dini...
HUYU KASEMA HIVI....
" wewe tatizo lako una hasad, tena kwenye mfuko wa rambo..
Hivi umerudia tena kuvuta bangi!
Hutoshi hata kuwa sheik wa kata....
Tunaambiwa wamepatana yale hayapo tena🤷♀️
Hayapo vipi?
Je ni sahihi kuomba dua kwa style aliyoomba na kwamba sasa kinakubalika kwenye dini? Umetoshelezwa kwa yale yaliyopelekea kumkosoa????
MSEMAJI WA PILI
Vipi ni kweli sasa anatosha kuwa sheik wa kata?
Ile bangi vipi havuti?
Tatizo la hasad hana tena?
Taarifa ya kukosa radhi za sheik wake si sahihi?
Kwa uoni wangu mashekhe hawa wanachama wa CCM hawapatana, Bali wameshinikizwa kutoka juu waseme wamepata. Kwakuwa hoja za shekhe aliyemnyoosha hadi musa hajapatiwa majibu ya maswali yake.
Na wakubwa wameona mbali kuwa kura za ccm kukoka kwa waislam bakwata zitagawanyika.
Sisi ambayo sio Bakwata Mufti wetu na kiongozi wetu mkuu Sheikh Ponda Issa Ponda keshamalizana na sisi tunasibiri tarehe ifike ili tukamchague Tundu Lissu.