Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Waziri alikuwa na hikma sana…hakutaka kubishana naye angezua fujo maana anatujua waislam ni wabishi na wapenda fujo
Nilikuwa nasubiri comment kama hii asante mjadala ufungwe, sasa jitu alijasoma linaenda kudanganya mania ya watu hivi unaanza kuliekekezea wapi bora akae kimyaa, DINI ikizidi sana unakuwa kama mtu aliyechanganyikiwa
 
Na kuna watu wamekaa kabisa wanamsikiliza halafu anajiita kiongozi wa DINI hana hata busara za kuongea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…