Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!

Waziri alikuwa na hikma sana…hakutaka kubishana naye angezua fujo maana anatujua waislam ni wabishi na wapenda fujo
Nilikuwa nasubiri comment kama hii asante mjadala ufungwe, sasa jitu alijasoma linaenda kudanganya mania ya watu hivi unaanza kuliekekezea wapi bora akae kimyaa, DINI ikizidi sana unakuwa kama mtu aliyechanganyikiwa
 
Yaani hizo hormones za uenda hizo...waziweke kwenye chanjo alafu kwenye maji, mafuta, soda, juice, nguo, tv, magari, fridge, ac, magodoro, na mengine tunayopenda kukimbilia kununua kutoka kwao wasiweke!
Huyo sheikh mwenyewe achunguzwe! Utafiti unaonesha wanaopiga vita zaidi ushoga ni mashoga waandamizi!!
Na kuna watu wamekaa kabisa wanamsikiliza halafu anajiita kiongozi wa DINI hana hata busara za kuongea
 
Back
Top Bottom