Shekhe Suleiman Takadil

Shekhe Suleiman Takadil

Lugha ilikuwa ikiwapiga chenga ikabidi wamtafute Mwl Nyerere.
Ngongo,
Mwalimu Nyerere hakupatapo kutafutwa na yeyote kuja kujiunga na harakati za kupigania uhuru kwa uongozi ule uliokuwa TAA HQ New Street, Dar es Salaam.

Kumbukumbu za Sykes zinaeleza kuwa mtu aliyetafutwa na TAA kupitia Abdul Sykes ajiunge na TAA ili waunde TANU alikuwa Chief David Kidaha Makwaia wa Siha.

Hii ilikuwa kati ya 1950 - 1953.

Kisa hiki ni historia inayojitosheleza nimeielexa kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes.

Lakini ukitaka kujua Nyerere aliingia vipi katika uongozi wa TAA pale New Street itabidi nikueleze mkutano muhimu uliofanyika Nansio, Ukerewe nyumbani kwa Hamza Mwapachu mwaka wa 1953 na waliokuwa katika mazungumzo hayo alikuwa Hamza Mwapachu, Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mohamed Said: JUMA MWAPACHU ANAZUNGUMZA KUHUSU HISTORIA YA UHURU
Ngongo,
Mwalimu Nyerere hakupatapo kutafutwa na yeyote kuja kujiunga na harakati za kupigania uhuru kwa uongozi ule uliokuwa TAA HQ New Street, Dar es Salaam.

Kumbukumbu za Sykes zinaeleza kuwa mtu aliyetafutwa na TAA kupitia Abdul Sykes ajiunge na TAA ili waunde TANU alikuwa Chief David Kidaha Makwaia wa Siha.

Hii ilikuwa kati ya 1950 - 1953.

Kisa hiki ni historia inayojitosheleza nimeielexa kwa kirefu katika kitabu cha Abdul Sykes.

Lakini ukitaka kujua Nyerere aliingia vipi katika uongozi wa TAA pale New Street itabidi nikueleze mkutano muhimu uliofanyika Nansio, Ukerewe nyumbani kwa Hamza Mwapachu mwaka wa 1953 na waliokuwa katika mazungumzo hayo alikuwa Hamza Mwapachu, Abdul Sykes na Ali Mwinyi Tambwe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUTOKA FB: SHEIKH SULEIMAN TAKADIR ALIVYOPOTEA KATIKA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA
Mohamed Said July 11, 2017 0



Mohamed Said Salum Ugomvi kati ya Sheikh Suleiman Takadir na Mwalimu Nyerere ndani ya ofisi ya TANU pale New Street ni katika matokeo ya historia ya TANU ambayo wana TANU wenyewe walipenda labda yafutike yasijulikane. Nadhani hata Mwalimu Nyerere hakupenda ugomvi ule uingie katika historia yake. Hakika ni kisa cha kusikitisha. Ugomvi huu alinihadithia marehemu Mzee Haidar Mwinyimvuababa yake Sheikh Ahmed Haidar ambae alikuwapo katika mkutano ule 1958 mara tu baada ya TANU kuamua kuingia katika Kura Tatu. Dr. Tamim ndiye aliyenipeleka kwa Mzee Haidar nyumbani kwake Magomeni. Alinieleza historia nzima ya Sheikh Takadir na ya Nyerere katika siku zile za mwanzo hadi Sheikh Takadir alipofukuzwa TANU. Kisa kizima nimekieleza katika kitabu cha Abdul Sykes.

scan0026.jpg

Kushoto ni Sheikh Suleiman Takadir, John Rupia na Julius Nyerere

Mohamed Said Salum Wakati wa utafiti wa kitabu cha Abdul Sykes sikuweza kupata picha ya Sheikh Takadir popote ikawa kama vile huyu mtu hakuwa katika TANU tena kiongozi wa juu kabisa. Picha yake ya kwanza nilikuja kuipata miaka hii ya 2000 na alinipa rafiki yangu marehemu Abdallah Kihombo nyumbani kwake Ilala. Baadae nikapata nyingine kutoka kwa Jim Bailey African Archive, Johannesburg...
Wakati mwingine historia huandikwa kutegemea utashi wa mwanahistoria. Yapo mambo ambayo walio na mamlaka hawataki yafahamike wala yaelezwe ili kuleta ulinganifu wa habari. Hii ni hapendezi. Hongera sana Mzee Mohamed Said kwa weledi wako wa kutuhabarisha kile ambacho tumekikosa.
Hebu tizama kwenye hiyo piha. Kuna hao walinzi. Wanatufikirisha zaidi kwamba katika TANU kulikuwa na kikosi maalum cha ulinzi.
 
Back
Top Bottom