Marekebisho mwishoni
Nikazima TV fasta nikaingia
chumbani nikampigia wife simu
nikamwambia nampenda na
kumkiss good night, nikaenda bafuni!
sijui kama kuna mtu alipona hapoIlikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama pembeni ya geti kwa nje.
Nikajibu-Oooh za asubui shem...Hapana shemeji nilishaweka jana ila kwani kuna kitu unaitaji... akajibu Ndio shem naitaji Luku.
Nikamwambia haina shida ila mimi nitachelewa kurudi.. akanijibu hamna tatizo bado iko kidogo.
Kwenye mida ya saa mbili na nusu napiga honi ili geti lifunguliwe....mara naona simu inaita, napokea ni shem ananiambia umenipita hapa nyuma..nikamwabia ok ngoja nimpe Masai akuletee luku yako.
Ilipofika kwenye saa nne na nusu ivi bado niko naangalia TV , msg inaingia... ''shem naomba uje uniingizie, mimi nimeshindwa, na baba...... amewapeleka watoto shule Arusha niko mwenyewe, samahani kama nakusumbua''
Nikazima TV fasta nikaingia chumbani nikampigia wife simu nikamwambia nampenda na kumkiss good night,, mke wangu yuko Mbeya alienda kwenye msiba wa bibi yake. Nikazima simu nikasali , nikalala.
Ilikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama pembeni ya geti kwa nje.
Nikajibu-Oooh za asubui shem...Hapana shemeji nilishaweka jana ila kwani kuna kitu unaitaji... akajibu Ndio shem naitaji Luku.
Nikamwambia haina shida ila mimi nitachelewa kurudi.. akanijibu hamna tatizo bado iko kidogo.
Kwenye mida ya saa mbili na nusu napiga honi ili geti lifunguliwe....mara naona simu inaita, napokea ni shem ananiambia umenipita hapa nyuma..nikamwabia ok ngoja nimpe Masai akuletee luku yako.
Ilipofika kwenye saa nne na nusu ivi bado niko naangalia TV , msg inaingia... ''shem naomba uje uniingizie, mimi nimeshindwa, na baba...... amewapeleka watoto shule Arusha niko mwenyewe, samahani kama nakusumbua''
Nikazima TV fasta nikaingia chumbani nikampigia wife simu nikamwambia nampenda na kumkiss good night,, mke wangu yuko Mbeya alienda kwenye msiba wa bibi yake. Nikazima simu nikasali , nikalala.
Hapana mawazo ya ngono hamna, ila niliepusha maneno... usiku nyumbani kwa jirani yangu na yeye hayupo ni noma
Kweli kabisa, kwani siku za nyuma nani alikuwa anamuingizia hizo namba za luku?Na hiyo luku ina ufundi gani hasa mpaka iingizwe na wanaume tu? Huyo mama alikuwa na lake jambo. Mimi nampongeza mtoa mada maana heri nusu shari
Ningekuona shujaa kama ungeenda, halafu akikwambia mambo mengine tofauti na LUKU umpige mkwara na kumwambia kuwa awe mwaminifu katika ndoa yake. Hapo ungekuwa umetoa fundisho, sasa kwa kuwa hukutoa fundisho lolote, labda kweli tatizo lilkuwa ni LUKU au kama sio LUKU alimpigia jirani mwingine na kupata msaada husika.
Wewe ni mtu katili.
Kweli kabisa, kwani siku za nyuma nani alikuwa anamuingizia hizo namba za luku?
Ungechukua jopo la majirani kadhaa tu muende kumsaidia jirani yenu kuingiza LUKU na kudumisha ujirani bila hofu ya kuzua tafrani.
nimeupenda uzi,mpelekee jb hautengenezee movie yenye muendelezo mzuuuri,jirani yako awe aunt ezekiel au uwoya,halafu tuone ulivyozima cmu,kusali kama kweli ulienda kulalal?na movie iitwe neighbours temptations,script writer nakuwa mwenyewe,hapo vp?
Yan jamaa kaacha zali hilo angepiga tu atie heshima
Mleta mada amesahau ule wimbo wa Twanga pepeta Jirani!
Jirani yako ndio nduguyo.......
Akiomba chumvi......umpatie
akiomba kisu........umpatie
akiomba kuingiziwa lukuuuuuu.........muingizie...
Sasa jirani ukazima na simu, ukalala kabisaaaaa duh!
Uliona shida gani kumtuma masai aende akamwingizie LUKU?
Kiongozi unajua ukishakua mtu mzima unakua na uzoefu wa mambo mengi sana... huyu mama hakua na lolote, hapa street kuna vijana wengi tu walinzi na ma house boy ambao angeweza kuwatuma hiyo luku na wakamwekea... kitendo cha mimi kumkubalia tu kununua luku ilikua ni heshima sana.... Mambo kama hayo huitaji kujaribu maana najijua ni rijali siwezi kwenda nikamkuta na chupi alafu nimwache, hivyo ni bora sikwenda kabisa.
Wewe ni mzinzi, inakuwaje kuombwa msaada tu upeleke mawazo yako kwenye uzinzi?Kwa hiyo wewe mwanamke akikusimamisha barabarani anaomba lift basi anakutaka?Ilikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama pembeni ya geti kwa nje.
Nikajibu-Oooh za asubui shem...Hapana shemeji nilishaweka jana ila kwani kuna kitu unaitaji... akajibu Ndio shem naitaji Luku.
Nikamwambia haina shida ila mimi nitachelewa kurudi.. akanijibu hamna tatizo bado iko kidogo.
Kwenye mida ya saa mbili na nusu napiga honi ili geti lifunguliwe....mara naona simu inaita, napokea ni shem ananiambia umenipita hapa nyuma..nikamwabia ok ngoja nimpe Masai akuletee luku yako.
Ilipofika kwenye saa nne na nusu ivi bado niko naangalia TV , msg inaingia... ''shem naomba uje uniingizie, mimi nimeshindwa, na baba...... amewapeleka watoto shule Arusha niko mwenyewe, samahani kama nakusumbua''
Nikazima TV fasta nikaingia chumbani nikampigia wife simu nikamwambia nampenda na kumkiss good night,, mke wangu yuko Mbeya alienda kwenye msiba wa bibi yake. Nikazima simu nikasali , nikalala.
Wewe ni mzinzi, inakuwaje kuombwa msaada tu upeleke mawazo yako kwenye uzinzi?Kwa hiyo wewe mwanamke akikusimamisha barabarani anaomba lift basi anakutaka?
Umenisikitisha sana, hufai hata kuwa jirani yetu wewe, na sikutegemea kuwa uko hivyo.
Sasa fikiria jirani yako alikuwa na hilo tatizo lakini wewe kwa mahisia yako ya kizinzi umeshindwa kumsaidia, kwanini hukwenda na hapo ukatae kama angeleta hayo mambo, hujiamini kabisa wewe, pole sana!