Shem utatapita pale petrol station..

Shem utatapita pale petrol station..

Marekebisho mwishoni

Nikazima TV fasta nikaingia
chumbani nikampigia wife simu
nikamwambia nampenda na
kumkiss good night, nikaenda bafuni!

Hehehe mkuu bafu la nini tena... kama ningetaka si ningekwenda tu kumtafuna
 
nimeupenda uzi,mpelekee jb hautengenezee movie yenye muendelezo mzuuuri,jirani yako awe aunt ezekiel au uwoya,halafu tuone ulivyozima cmu,kusali kama kweli ulienda kulalal?na movie iitwe neighbours temptations,script writer nakuwa mwenyewe,hapo vp?
 
Ilikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama pembeni ya geti kwa nje.
Nikajibu-Oooh za asubui shem...Hapana shemeji nilishaweka jana ila kwani kuna kitu unaitaji... akajibu Ndio shem naitaji Luku.
Nikamwambia haina shida ila mimi nitachelewa kurudi.. akanijibu hamna tatizo bado iko kidogo.
Kwenye mida ya saa mbili na nusu napiga honi ili geti lifunguliwe....mara naona simu inaita, napokea ni shem ananiambia umenipita hapa nyuma..nikamwabia ok ngoja nimpe Masai akuletee luku yako.
Ilipofika kwenye saa nne na nusu ivi bado niko naangalia TV , msg inaingia... ''shem naomba uje uniingizie, mimi nimeshindwa, na baba...... amewapeleka watoto shule Arusha niko mwenyewe, samahani kama nakusumbua''

Nikazima TV fasta nikaingia chumbani nikampigia wife simu nikamwambia nampenda na kumkiss good night,, mke wangu yuko Mbeya alienda kwenye msiba wa bibi yake. Nikazima simu nikasali , nikalala.
sijui kama kuna mtu alipona hapo
 
Ilikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama pembeni ya geti kwa nje.
Nikajibu-Oooh za asubui shem...Hapana shemeji nilishaweka jana ila kwani kuna kitu unaitaji... akajibu Ndio shem naitaji Luku.
Nikamwambia haina shida ila mimi nitachelewa kurudi.. akanijibu hamna tatizo bado iko kidogo.
Kwenye mida ya saa mbili na nusu napiga honi ili geti lifunguliwe....mara naona simu inaita, napokea ni shem ananiambia umenipita hapa nyuma..nikamwabia ok ngoja nimpe Masai akuletee luku yako.
Ilipofika kwenye saa nne na nusu ivi bado niko naangalia TV , msg inaingia... ''shem naomba uje uniingizie, mimi nimeshindwa, na baba...... amewapeleka watoto shule Arusha niko mwenyewe, samahani kama nakusumbua''

Nikazima TV fasta nikaingia chumbani nikampigia wife simu nikamwambia nampenda na kumkiss good night,, mke wangu yuko Mbeya alienda kwenye msiba wa bibi yake. Nikazima simu nikasali , nikalala.

Sasa Mmasai kazi yake si usalama? kwa nini hukwenda nae?
 
Duh, mkubwa hivyo unaogopa kuingiza luku? Kwanza kulikuwa na giza mngetunia tochi ya simu.
 
Mleta mada amesahau ule wimbo wa Twanga pepeta Jirani!
Jirani yako ndio nduguyo.......
Akiomba chumvi......umpatie
akiomba kisu........umpatie
akiomba kuingiziwa lukuuuuuu.........muingizie...

Sasa jirani ukazima na simu, ukalala kabisaaaaa duh!
 
Na hiyo luku ina ufundi gani hasa mpaka iingizwe na wanaume tu? Huyo mama alikuwa na lake jambo. Mimi nampongeza mtoa mada maana heri nusu shari
Kweli kabisa, kwani siku za nyuma nani alikuwa anamuingizia hizo namba za luku?
 
Ningekuona shujaa kama ungeenda, halafu akikwambia mambo mengine tofauti na LUKU umpige mkwara na kumwambia kuwa awe mwaminifu katika ndoa yake. Hapo ungekuwa umetoa fundisho, sasa kwa kuwa hukutoa fundisho lolote, labda kweli tatizo lilkuwa ni LUKU au kama sio LUKU alimpigia jirani mwingine na kupata msaada husika.

Angeenda na kumkatalia yale mambo yetu angepigiwa yowe ya kubakwa, kumbuka kisa cha Yusufu kwenye Bible kule kwa mke wa Farao Misri. Heri hakwenda kabisa, shari ilishaonekana, mama alikuwa ana mhemuko wa hali ya juu asingekubali kutolewa nje wakiwa chumbani.
 
nimeupenda uzi,mpelekee jb hautengenezee movie yenye muendelezo mzuuuri,jirani yako awe aunt ezekiel au uwoya,halafu tuone ulivyozima cmu,kusali kama kweli ulienda kulalal?na movie iitwe neighbours temptations,script writer nakuwa mwenyewe,hapo vp?

Hehehe, aisee jamaa ni mjasiriamali kweli... ngoja niliundie tume suala lako
 
Mleta mada amesahau ule wimbo wa Twanga pepeta Jirani!
Jirani yako ndio nduguyo.......
Akiomba chumvi......umpatie
akiomba kisu........umpatie
akiomba kuingiziwa lukuuuuuu.........muingizie...

Sasa jirani ukazima na simu, ukalala kabisaaaaa duh!

Nina wasiwasi na wewe , unaweza ukawa shem...
 
Uliona shida gani kumtuma masai aende akamwingizie LUKU?

Kwangu ikifika saa tatu nafunga geti naondoka na funguo.... tatu na nusu milango yote ya nyumba inafungwa,saa nne mbwa wanafunguliwa... Nadhani nitakua nimekujibu kaka.
 
Kiongozi unajua ukishakua mtu mzima unakua na uzoefu wa mambo mengi sana... huyu mama hakua na lolote, hapa street kuna vijana wengi tu walinzi na ma house boy ambao angeweza kuwatuma hiyo luku na wakamwekea... kitendo cha mimi kumkubalia tu kununua luku ilikua ni heshima sana.... Mambo kama hayo huitaji kujaribu maana najijua ni rijali siwezi kwenda nikamkuta na chupi alafu nimwache, hivyo ni bora sikwenda kabisa.

kaka hongera kwa kumtunzia heshima wife ... umefanya vema ... heri lawama kuliko fedheha!!
 
Ilikua jumamosi asubui natoa gari getini, mara naskia mke wa jirai yangu ananiuliza Shemeji utapita pale Petrol satation?
Kwa sababu nilikua narudi njuma nilikua sijamuona ila yeye alikua kasimama pembeni ya geti kwa nje.
Nikajibu-Oooh za asubui shem...Hapana shemeji nilishaweka jana ila kwani kuna kitu unaitaji... akajibu Ndio shem naitaji Luku.
Nikamwambia haina shida ila mimi nitachelewa kurudi.. akanijibu hamna tatizo bado iko kidogo.
Kwenye mida ya saa mbili na nusu napiga honi ili geti lifunguliwe....mara naona simu inaita, napokea ni shem ananiambia umenipita hapa nyuma..nikamwabia ok ngoja nimpe Masai akuletee luku yako.
Ilipofika kwenye saa nne na nusu ivi bado niko naangalia TV , msg inaingia... ''shem naomba uje uniingizie, mimi nimeshindwa, na baba...... amewapeleka watoto shule Arusha niko mwenyewe, samahani kama nakusumbua''

Nikazima TV fasta nikaingia chumbani nikampigia wife simu nikamwambia nampenda na kumkiss good night,, mke wangu yuko Mbeya alienda kwenye msiba wa bibi yake. Nikazima simu nikasali , nikalala.
Wewe ni mzinzi, inakuwaje kuombwa msaada tu upeleke mawazo yako kwenye uzinzi?Kwa hiyo wewe mwanamke akikusimamisha barabarani anaomba lift basi anakutaka?
Umenisikitisha sana, hufai hata kuwa jirani yetu wewe, na sikutegemea kuwa uko hivyo.
Sasa fikiria jirani yako alikuwa na hilo tatizo lakini wewe kwa mahisia yako ya kizinzi umeshindwa kumsaidia, kwanini hukwenda na hapo ukatae kama angeleta hayo mambo, hujiamini kabisa wewe, pole sana!
 
Wewe ni mzinzi, inakuwaje kuombwa msaada tu upeleke mawazo yako kwenye uzinzi?Kwa hiyo wewe mwanamke akikusimamisha barabarani anaomba lift basi anakutaka?
Umenisikitisha sana, hufai hata kuwa jirani yetu wewe, na sikutegemea kuwa uko hivyo.
Sasa fikiria jirani yako alikuwa na hilo tatizo lakini wewe kwa mahisia yako ya kizinzi umeshindwa kumsaidia, kwanini hukwenda na hapo ukatae kama angeleta hayo mambo, hujiamini kabisa wewe, pole sana!

I am questioning your age.... you seems very immature kwenye maisha in general.
 
Back
Top Bottom