Shem utatapita pale petrol station..

Mimi ndo maana huwa nanunua mwenyewe umeme,niwe nimesafiri niwe nipo...mambo mengine haya bwana
 
Mimi ndo maana huwa nanunua mwenyewe umeme,niwe nimesafiri niwe nipo...mambo mengine haya bwana
 
Ikimbie dhambi kwa miguu yako mwenyewe....hongera sana Wanaume wengi wamenaswa kwa mbinu za namna hiyo.....angalia video ya Kenya ya kukwamana
 
........ naye waifu anakupenda sana. usiku mwema
 
wanawake ni viumbe zaifu sana. nafikir wanaume tuna kazi kubwa sana kuhakikisha wanawake wetu wanaridhika na tendo la ndoa, kwasababu utakuwa kama asilimia sabini ya wanawake ndoani, wanaishi pale kama security ya pesa, au kwasababu mmezaa nao watoto,ila wale waaminifu hakika ni wachache, wengi bado wanapenda wakabanduliwe nje kubadilisha ladha, mme akisafiri wanatafuta advantage, hasa hao wa jirani ndo kabisa, anajua atakuwa ameweka mtaji wa kial mme akisafiri. sitakumbika siku rafiki yangu alipomwinamisha mke wa mtu bafuni akioga, na mume wake akiwa ndani anamsubiri mke aoge watoke...jamaa aliingia bafuni akamkuta kama alivyozaliwa, kwasababu walikuwa wamezoeana, alimwambia tu nataka, dada alishika ndoo (uswahilini enzi hizo) akainama, jamaa akapiga cha nyuma fasta...dada kamalizia kuoga, akarudi chumbani kwa waifu wake. kaazi wkweli kwweli.
 
mi sikupongezi kwa kua ulimkatili kwa kuassume mambo yako binafsi na hata kama alikua anataka kukutunuku tunda mi sikuona sababu ya wewe kuwa na wasiwasi kiasi hicho
 


tafsiri ni tatizo kwako na wengine wengi tuuuu
 

Unaishi wapi nije niwe jirani yako niwe namsaidie mkeo kuweka luku ukiwa haupo?
 
nothing could be far from the truth. Shem alikuwa na agenda siri
 
Hukufanya uungwana hasa ukichukulia huyo ni jirani yako..mtu kamili ni yule mwenye misimamo na anayejua jema na baya....ungeenda kumsaidia na kama kungekuwa na mengine ungemkumbusha tu kuwa wewe umeoa naye pia kaolewa.....kwa mtindo huo jiandae mkeo kulala giza ukiwapeleka watoto shule...pia tunamshukuru mungu wewe si daktari wa wanawake
 
Mkuu hapa naona ulimhukumu jirani bila kumpa fursa ya kujitetea,kiukweli hata nyumbani kwangu watoto ndo huwa wana punch luku mimi wala sijui inafanyikaje,ungemsaidia tu badala mawazo yako kukimbilia kwenye serewale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…