majibu anayo mwenyewe
Majibu unayo mwenyewe, suka au nyoa.:target:
Hivi inakatazwa kuoa nyumba moja/mtu na dada yake?
...maana aona msaada kuwa wazi kila akimwambia we mme wa dadangu ataki ati???
mmmh kama dunia naweza sema ishakufwaaaaaaaaaa ati
kuna dadda=ngu mmoja kadai tangu shemeji yetu aende kwake nsalimia baada ya
kufiwa na mme wake jamani amuingiza majaribu...leo hii kaamua kuniuliza
miie kaka nfanyeje...maana aona msaada kuwa wazi kila akimwambia we mme wa dadangu ataki ati???nkasema sie wote wa kule kule tupeane nsaada jamani dadangu amfanyaje huyu...kingine kasema huyu shemeji amtamani ama ampenda dadangu...aalafu ye nkrissto ataoaje nyumba moja ntu na dogo wake jamani..au ndio hamu ileeeeeeeeeee ya taarabu
hamuuuuuuuu hamuuuuuuuuuuuuuu hamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?????
unajua unpotongozwa we mwenyewe ukaonyeshaflani kama vile
kuchekacheka unapokua naye,mara vizawadi upokee mara tabasamu flani
lazima naye ataona kama vile ipo ciku utamkubalia tu,lakini ukikaza mikausho mikali kila
mara lazima mwenyewe ataona apa cipo,la mwisho take care kuna ugonjwa hatari wa Ukimwi
mi nasemaga haya mashemeji mengine
laana tupu wajameni....