Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
mmmh kama dunia naweza sema ishakufwaaaaaaaaaa ati
kuna dadda=ngu mmoja kadai tangu shemeji yetu aende kwake nsalimia baada ya
kufiwa na mme wake jamani amuingiza majaribu...leo hii kaamua kuniuliza
miie kaka nfanyeje...maana aona msaada kuwa wazi kila akimwambia we mme wa dadangu ataki ati???nkasema sie wote wa kule kule tupeane nsaada jamani dadangu amfanyaje huyu...kingine kasema huyu shemeji amtamani ama ampenda dadangu...aalafu ye nkrissto ataoaje nyumba moja ntu na dogo wake jamani..au ndio hamu ileeeeeeeeeee ya taarabu
hamuuuuuuuu hamuuuuuuuuuuuuuu hamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?????
kuna dadda=ngu mmoja kadai tangu shemeji yetu aende kwake nsalimia baada ya
kufiwa na mme wake jamani amuingiza majaribu...leo hii kaamua kuniuliza
miie kaka nfanyeje...maana aona msaada kuwa wazi kila akimwambia we mme wa dadangu ataki ati???nkasema sie wote wa kule kule tupeane nsaada jamani dadangu amfanyaje huyu...kingine kasema huyu shemeji amtamani ama ampenda dadangu...aalafu ye nkrissto ataoaje nyumba moja ntu na dogo wake jamani..au ndio hamu ileeeeeeeeeee ya taarabu
hamuuuuuuuu hamuuuuuuuuuuuuuu hamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?????