Shemeji kaniomba aje kulala nyumbani kwangu

20k wengine wanapewa mwezi hiyo, dah kuna mademu wanadeka kinoma
 
Kwani vyuo mmefunga lini? Wenzako wanajiandaa na UE unaleta upupu huku sijui JF imeingiliwa na matutusa kama haya lini? Soma dogo acha maisha ya drama
 
Daaah 20k haztoshi...hebu acha tyz mkuu
 
Kuna watu wasenge sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Sema nyie mnatuchanganya sana sisi ambao sio wa kishua Yani mwanamke mmoja hana mtoto 20K inatosha kwa siku vizuri mno au huyo mwanamke ana Tumbo gani hilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nyie ndo mnasababishaga wanawake waone wanapendwa wakipewa pesa 20K kwa mwez ni kilo 600k aya wewe baba huruma unaetoa 50k kwa mwezi 1.5M mshahara wa Njiwa kabisa Tumieni akili Nyuzi zingine humu zinatukera sisi walugaluga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnachezea hela Indirect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…