Shemeji kaniomba aje kulala nyumbani kwangu

Shemeji kaniomba aje kulala nyumbani kwangu

Kiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?

Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.

Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.

Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.

Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.

Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
nimekudharau na uzi wako sh 20,000/= ni ndogo kwa siku acha sifa za kiboya eti kwa jioni tu nimempa 50,000 hizi sifa mmmh
 
Kiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?

Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.

Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.

Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.

Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.

Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
Yaani wewe unapaswa kupokea ushauri kutoka kwa Son of Gamba
 
Dah! Hayo sio mambo nawewe inakuwaje unamuachia 50,000/= mbona ndogo sana ungekuwa unamuachia angalau 200,000/=
 
Unatupiga kuwa huyo shemeji yako ulimwachia 50k for few hours na ukamshangaa jamaa ako anamwachia 20k kwa sio si ndio!??
Sawa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Wakati wewe mwaka huu huu unaishi/umeishi na binti/mchumbaa ako na kwa mwezi ukapanga kumwachia laki 6 tena unamwingizia kipindi/tarehe za mishahara ya walimu kijana laki sita gawa kwa 30 ni how much!??? Si sawa na pesa jamaa ako anamwachia mke/mpenzi ake!??????

Ukaenda zaidi kuwa utamwachia/utampa laki 8 kwa matumizi ya nyumbani sasa laki nane gawa kwa mwezi si ni 2667~27000!????
Bado hukutoka katika maelfu ya ishirini as your jamaa anavomwachia shemeji ako.

Sasa tuje sasa unamshangaa jamaa ako wakati wewe ndicho ulichokuwa/unachokuwa unamwachia binti/mchumba tena shombe shombe????

Kijana kijana ...View attachment 1848013
Pic_1625870147584.jpg

View attachment 1848023
 
Unatupiga kuwa huyo shemeji yako ulimwachia 50k for few hours na ukamshangaa jamaa ako anamwachia 20k kwa sio si ndio!??
Sawa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

Wakati wewe mwaka huu huu unaishi/umeishi na binti/mchumbaa ako na kwa mwezi ukapanga kumwachia laki 6 tena unamwingizia kipindi/tarehe za mishahara ya walimu kijana laki sita gawa kwa 30 ni how much!??? Si sawa na pesa jamaa ako anamwachia mke/mpenzi ake!??????

Ukaenda zaidi kuwa utamwachia/utampa laki 8 kwa matumizi ya nyumbani sasa laki nane gawa kwa mwezi si ni 2667~27000!????
Bado hukutoka katika maelfu ya ishirini as your jamaa anavomwachia shemeji ako.

Sasa tuje sasa unamshangaa jamaa ako wakati wewe ndicho ulichokuwa/unachokuwa unamwachia binti/mchumba tena shombe shombe????

Kijana kijana ...View attachment 1848013View attachment 1848014
View attachment 1848023
Extrovert Extrovert
 
Kiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?

Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.

Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.

Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.

Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.

Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
Jamaa aache ujinga
Unamwachiaje mkeo elfu 20?
Hahahaha bwana pompeo acha ufala maana huku niliko sometimes tunaacha KHAKI(BUKU 5) tu
 
Back
Top Bottom