Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50k ni rahisi?Mke wa mtu anaenda kuliwa kirahisi kabisa.
nimekudharau na uzi wako sh 20,000/= ni ndogo kwa siku acha sifa za kiboya eti kwa jioni tu nimempa 50,000 hizi sifa mmmhKiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?
Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.
Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.
Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.
Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.
Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
Yaani wewe unapaswa kupokea ushauri kutoka kwa Son of GambaKiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?
Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.
Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.
Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.
Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.
Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
Hio hela inakula familia ya watu 7 eti kumuachia mwanamke hela ndogo!😅😅😅Kama sio ya kutunga we 20k kwa siku ni ndogo? [emoji1]
Na wewe umemuamini?Mke wa mtu anaenda kuliwa kirahisi kabisa.
Hii ni chai aje ani quote kuwa sio chai Mimi nimchambue.We mtoa mada ni Popoma tu, unaposema ati kuwa 20K ni hela ndogo we umempa 50K kwa few hours aisee mnatuona wote mafala humu ndani?
Nyumba yenye chakula ukimuachia mke 10K ni bonge moja la favour!
Poa poa.. .mapumziko mema.. Ila kampeni yetu ya MWAGIA NDANI inaendelea mkuu..Hafuati pesa anakuja kupumzika tuu
Extrovert ExtrovertUnatupiga kuwa huyo shemeji yako ulimwachia 50k for few hours na ukamshangaa jamaa ako anamwachia 20k kwa sio si ndio!??
Sawa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Wakati wewe mwaka huu huu unaishi/umeishi na binti/mchumbaa ako na kwa mwezi ukapanga kumwachia laki 6 tena unamwingizia kipindi/tarehe za mishahara ya walimu kijana laki sita gawa kwa 30 ni how much!??? Si sawa na pesa jamaa ako anamwachia mke/mpenzi ake!??????
Ukaenda zaidi kuwa utamwachia/utampa laki 8 kwa matumizi ya nyumbani sasa laki nane gawa kwa mwezi si ni 2667~27000!????
Bado hukutoka katika maelfu ya ishirini as your jamaa anavomwachia shemeji ako.
Sasa tuje sasa unamshangaa jamaa ako wakati wewe ndicho ulichokuwa/unachokuwa unamwachia binti/mchumba tena shombe shombe????
Kijana kijana ...View attachment 1848013View attachment 1848014
View attachment 1848023
SimuNamba za nini?
Jamaa aache ujingaKiufupi ninamshkaji wangu, kiukweli jamaa ana mwanamke wake lakini jamaa hajatulia kabisa, hamuachii mwanamke wake pesa ya matumizi na pesa anayo, nnje anahonga sana, shemeji juzi ananiambia eti Rafiki yangu amefikia hatua anamuachia 20,000 kwa siku, kiukwel nilimuonea huruma sana shemeji yangu, 20k kwa maisha haya kwa siku inatosha vipi?
Kiukwel jamaa ni mshkaj wangu lakini sijapenda hiyo tabia yake ya unyanyasaji kwamke wake.
Sasa juzi shemeji alivyokuja nyumbani kunilalamikia malalamiko ya huyo ndugu yangu alishangaa sana maisha ninayoishi pale kwangu, akadai mimi naishi maisha mazur sana kuliko ya kwake na mme wake mpaka akafikia hatua ya kusema eti anatamani bora tungekua tunakaa nae.
Jana shemeji kanitext tena anadai anataka aje home tupige story apumzishe kichwa kwa stress za jamaa yangu, nikamkubalia akaja tukashida mpaka sa6 hivi mchana nikapata simu ya kuhitajika kazin, kwakua yeye hakutaka kurud kwake mda ule akaniambia yeye atabaki kuna series anamalzia kuangalia nitamkuta, basi nikaona hain la shida nikamuachia 50,000 pesa itakayomsaidia kwa matumizi mpaka jioni nitakaporudi, niliporudi mida ya sa10 jioni tulikaa kidogo akaaga akaondoka.
Sasa leo tena kanitext anasema anataka kuja kulala huku atamuaga mmewake anaenda kwa mama yake mdogo anaumwa, kiukwel nmeshindwa kumuelewa nimemwambia ikiffika sa12 nitamjulisha.
Lakini sio mbaya akija huku anafurahi anatoa stress, nimwambie aje?
Huyu jamaa anatuona sie mabwege yani ni muongo muongo kichizi 😅😅😅 pengine hata hana huo mshahara wa laki 8