Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha haha storyToooba toba !
Hamna we ulipotea hatimae umerudi tumefurahiSatan ur missed
Aisee iyo story ya lutu sijawai ielewa kabisa,Aisee walokole wanashida sana mwambie huyo NYANYANTOLE mungu hawezi kukuchoma kisa umesex uwezo wako tu wa kutafuna ukipata we kula hata 100 kama Selemani wa biblia ukiweza kunywa pombe kunywa ili mradi usiudhi watu katika biblia kuna mtu anaitwa Nuhu alikuwa mlevi sana anapiga pombe mpk anakaa uchi kuna mwingine anaitwa Lutu huyu jamaa Angekuwa sasa hivi Angekuwa sasa angefungwa huyu alilala na watoto wake wawili mabinti zake wote aliwala na kuna huyo Ibrahim alitafuna beki tatu lakini hakuna mtu anaesema hizi stori tukifanya sisi nongwa
Cha kubadilishia style
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kesho tubadilishie story tumechoka na hii michepuko yako
Hakupewa adhabu yeyote.. ilibidi iwe vile kuendeleza uzao. hapo ndio Tutajua hatujui😄Aisee iyo story ya lutu sijawai ielewa kabisa,
Hivi mungu alimpa adhabu gani kwa kosa Lile la kulala na binti zake[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimsamehe tu ili aendeleze kizazi mungu hawezi kukuchoma moto kisa unasex ni sawa na unafuga kuku unamuona jogoo moja anatembea na kuku jike 10 hapo si utamsifia yule jogoo hivyo ukiweza kuwapata wanawake wengi we piga tu ili mradi uweze kuwahudumia au ukatongoza mwanamke akakubali mwenyewe wee piga hakuna kuzini hapo si amekubali mwenyeweAisee iyo story ya lutu sijawai ielewa kabisa,
Hivi mungu alimpa adhabu gani kwa kosa Lile la kulala na binti zake[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran[emoji4]Alimsamehe tu ili aendeleze kizazi mungu hawezi kukuchoma moto kisa unasex ni sawa na unafuga kuku unamuona jogoo moja anatembea na kuku jike 10 hapo si utamsifia yule jogoo hivyo ukiweza kuwapata wanawake wengi we piga tu ili mradi uweze kuwahudumia au ukatongoza mwanamke akakubali mwenyewe wee piga hakuna kuzini hapo si amekubali mwenyewe
Dah! Hizi dini Ni kitendawili Sana, Inamaana mungu mwnyw alijikuta keshakosea akoona Basi TU[emoji4]Hakupewa adhabu yeyote.. ilibidi iwe vile kuendeleza uzao. hapo ndio Tutajua hatujui[emoji1]
Angechanganyikiwa kabisa uyo[emoji4]apa nawaza mfano angekuw anakunywa valeur au shimha alc 40%
😂😂😂akaona isiwe kesi.Dah! Hizi dini Ni kitendawili Sana, Inamaana mungu mwnyw alijikuta keshakosea akoona Basi TU[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app