Shemeji yangu gay, alale na nani?

kuna post nazani mleta mada amegusia kwamba sio bongo hii ishu, sasa kuna baadhi ya nchi za ughaibuni ukilinyanyapaa bwabwa na likiripoti basi imekula kwako. Huyu mleta mada anaweza akarejeshwa kwao na nguo yake aliovaa tu, Halaf hata JF tusimuone tena, wee unazani akishakurejeshwa bongo hela ya cafe atatoa wapi?
 

mungu ibariki jf wabariki wanandoa wakeeeeeeeee heshima umoja na amani hiyaaaa ni majaribuuuuuuuuuuuu tubarikiiiiiiii tanzania tubariki watoootooo wa jf
 
angekuwa mwanao ungemwambia asifike nyumbani???tutatue tatizo mwenzenu kafikwa jamani mnaona anatania lakni ndoa iko kwenye mtihan

Mimi ndio huwa napingana sana na watu, kwa sababu ni mwanao eti hata akiwa na tabia mbaya unaona sawa tu cause ni mwanao? huko sio kumpenda bali kumpotosha. Lazima mumuonyeshe kwamba tabia yake si nzuri na haikubaliki kwa Mungu na katika jamii nzima. Kama anataka kushirikiana nanyi basi aache hiyo tabia.

Mimi nina binti mmoja tu, na sijui kama nitakuja pata mtoto mwingine ila kwenye masuala ya malezi niko makini sana sijali eti kwa sababu yuko pekee basi kila afanyacho ni sawa, akikosea namuadabisha vizuri tu bila kujali yuko pekee au la, kifupi sina mchezo kabisa. Huwa anashangaa sometimes ila nadhani akija kua mkubwa ndio ataelewa nilikuwa namaanisha nini.
 

klorokwin watake radhi watanzania kabla ya hukumu yapasaka aijakuvamia
 
Dada yake anaforce lazima my young brother wake huyo aje kuyaona makazi yetu mapya

du,
1-watch inawezekana umeoa ukoo uliona tatizo/laana hilo
2-mkeo hawezi kuforce katika situation inayoweza kuharibu moral standard ya familia yako kiasi hiki. Be a man, tell her to shut up. Is she a Les...in the dark?
 
Duuuuhhh mmenikumbusha kweli kuna lijamaa limoja pale magomeni yaani lenyewe limeshawatambalia mabwabwa wote wenye hela tena na vyeo vyao anywa sheria inanilinda ila jamaa alivyo hata akiingia chooni asikii harufu ya mavi ashaizoe lann hizi za kuomba mungu atuepushe mbali kabisaaaaaaaaaa
 
Hakuna shaka ngoja nimpe kubwa tu ili asije
 
 
Hajifichi kuwa yeye ni kipikipiki ni muwazi zaidi na anaona raha kuwa hivyo,mashoga huku wana uhuru na ni rukhsa kuoana

mkuu...pamoja na kuwa huko uliko hayo mambo yako. Mwambie wazi mkeo kuwa lazima aheshimu cultural background yako, she is your wife lazima akubali kumeza culture yako, hakuna cha pikipiki wala baiskeli.
 
Uhakika ninao kama shemu wangu ni kipikipiki,nauchukua ushauri huu kwa kuact kama boss wa hii nyumba na kumpiga BAN for life.huyu bwabwa.
 
mkuu...pamoja na kuwa huko uliko hayo mambo yako. Mwambie wazi mkeo kuwa lazima aheshimu cultural background yako, she is your wife lazima akubali kumeza culture yako, hakuna cha pikipiki wala baiskeli.
Well said mkuu,nampiga BAN huyu shoga
 
Muulizeni Rev. Masanilo awape ushauri wa kumsaidia kijana
 
 
Hongera ktk hili na mafanikio mema ktk kumlea vyema mwanao huyo
 


Kwani lazima umkaribishe nyumbani kwako mtu ambaye tayari anakunyima amani?. Mwambie hamtakuwepo basi kwani lazima aje?

Nasema hivi kwa sababu hujui litakalokupata kwani hawa wana kuwa controlled na spirit za Ushoga. Akija hapo anaweza kuja na hizo spirit akawaambukiza watoto wako au wewe hivyo try to be very careful
 

ashakupitia hyo,simz lyk u knw ol the details!
 

Mh hii kali..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…