Shemeji yangu na house girl walivyoua wanangu na mume wangu

Japo ni chai ila ni funzo kubwa sana kwa nyie wafanyakazi mnaozaa watoto kwa ajili ya kupost status.
 
Unaweza sema ni movie au story tu hii dunia ina mengi sana ila ni funzo pole sana na Mungu akupe ustahimilivu kwenye hili.
 
munge weka pilipili kichaa kwenye nyeti zao muone kama wangeludia tena,malez ya kimayai matokeo yake ndo hayo ,ila pole kwa msiba huo, biblia yenyewe imesisitiza watoto walelewe kwa viboko,watu wanapigwa na nondo ili tu wakue kwenye maadili mema,malezi ni kama kioo ukiyachekea nayo yanacheka
 
mwanamke wa miaka 75 anatype kama cherehanj JF ...we boya acha kutuona mafala na hadithi zako zakutunga
 
Let's do some math here.

Una miaka 74 kwahiyo ulizaliwa 1949. Tuwe wahafidhina kidogo, umesema uliolewa ukiwa na miaka 24, basi hiyo ilikuwa 1973. Let say ulizaa mtoto wa kwanza miaka miwili baada ya ndoa, yaani 1975.

Miaka 6 baadaye (1981) mtoto wako huyo alikuwa na miaka 6. Na hicho ndicho kipindi ambacho dada wa kazi na shemeji walikuwa wanaangalia picha za ngono na watoto.

1981, TV sebuleni, picha za ngono, Tanzania hii hii, au Marekani??
 
Huwez kuta hayo maujinga kwa sisi kuku wa kienyeji....hapo ilikua kutembeza bakora mpaka wajinyee,eti mzazi unamwomba mtoto msamaha kwel?tena kwa ujinga huo?yaani gete bhabehi lyashilile elilange...shaur yenu na malez ya et waliostaarabika!

Tena mmoja angekwenda shule x na mwingine y
 
Daktari una miaka 24
 
You cut the cake
 
Kariakoo alfajiri kuna mitaa inanukia Chai yenye viungoo mashaullaah
 
It looks like a joke, unfortunately it is a true story! I can see that you can't believe that this has happened, but this is the reality. Congratulations for this persistence, which your husband couldn't make.
 
Tujitahidi sana kuziombea familia zetu hasa watoto maombi Yana nguvu.
Uharibifu wowote uanzia katika ulimwengu wa kiroho.
TV ni mlango wa mapepo kuleta uharibifu kwa watoto
 
Hili ni soboro la wasiofikiria tu kulielewa. Mkaka 15 nyuma, miaka 74 kwa sasa. Watoto wamekufawakiwa chini ya miaka 15 na baba yao kafa kwa msongo wa mawazo wa tukio la miaka zaidi ya 30 nyuma.
 
mi ndo maana sitaki ndugu nyumbani kwangu potelea pote na nionekane nna roho mbaya fresh tu
 
Shikamoo bibi , Huu mkeka ulikula ?
 

Attachments

  • 5391BCB7-C399-4CD0-80FF-DB0AB37A5D75.jpeg
    15.1 KB · Views: 1
Huyu ni agent anaimply uovu kwa jamii, tuliosomea Russia tushamshtukia, sgent of the devil hakuna somo zaidi ya kuimply fear kwa wazazi, hata pamoja na utandawazi huu wa leo ila kwa malezi ya kibongo bongo hii kitu haipo acha kuleta mawazo ya kishetwain
 
Tena mmoja angekwenda shule x na mwingine y
yaan siku iz mtu akimiliki ka spacio na kafriji bas anaona yey ni civilized kiasi kwamba analea watoto malez ya kiyuropu fimbo anaona ni toto vayolensi matokeo yake ndo haya upuuz mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…