Shemeji yangu Raimundo

Naomba shemeji yangu kipenzi kama uko hapa JF na ID nyingine tafadhali nisemeshe. Kila nikichungulia ID yako imekuwa BANNED.

Please Raimundo, nina shida na wewe.
Hukumtetea walipomshambulia, tuliojaribu kumtetea tuliishia kutukanwa.
Any way utampata
 
MECO kuna majambazi sometimes ujue!! tafuteni sehemu nyingine halafu na mie mniite😉
Tatizo nyie wanaume wa jf mmekua wambea sana skuizi....[emoji13] [emoji13]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Hukumtetea walipomshambulia, tuliojaribu kumtetea tuliishia kutukanwa.
Any way utampata
Kipindi anashambuliwa nilikuwa sina bando kama mwezi mzima hivi, kuja kuingia JF ndio nakutana na hilo neno "assist me PM" kuuliza wakaniambia ni shemeji yangu. Ila mie sikujali. kuingia kwenye a/c yake ndio hivyo tena BANNED hadi leo. Nakutafuta Raimundo shemeji yangu please
 
Pole sana, sijui kama una maanisha lkn Raimundo yupo humu kwa uhakika 100%.
Mtafuta Cute b ninaamini atakusaidia
 
hahhaha kumbe "nkuki" kwa nguluwe ntamu kwa mwanadamu nchungu" hahahaha.
Nimeambiwa na muheshimiwa kwamba wewe ni binti.....
Basi kuanzia leo sinto rudia kukuita Me la mbegu....
Samahani mkuu, ujue hizi ID zimeficha mengi sana wallah kaka....
 
Pole sana, sijui kama una maanisha lkn Raimundo yupo humu kwa uhakika 100%.
Mtafuta Cute b ninaamini atakusaidia
Ni kweli nime maanisha, cute b naomba uniunganishe na Raimundo nina shida naye ni shemeji yangu. Niunganishe kwa PM
 
Nimeambiwa na muheshimiwa kwamba wewe ni binti.....
Basi kuanzia leo sinto rudia kukuita Me la mbegu....
Samahani mkuu, ujue hizi ID zimeficha mengi sana wallah kaka....
Muheshimiwa nani huyo? hahahahahahah. Kwanza nipe ID ya Raimundo
 
hahahahahhahahah, ngoja siku akija Mwanza ale chakula changu tena cha kuongeza nguvu za kiume ataacha kuniita ME hahahha
Ngoja na mimi nije kuonja huo msosi ila ndyo natokea shirima kuja kufika huko itakuwa ushafunga?
 
Ngoja na mimi nije kuonja huo msosi ila ndyo natokea shirima kuja kufika huko itakuwa ushafunga?
Kwa hapa Mwanza Shirima ni mtaa upi mkuu kurlzawa? huwa najua huo ni ukoo wa Wachaga tena wakutoka Rombo walio wengi ndio Shirima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…