Shemeji yangu Raimundo

Mbona nilipita kumbe ni wewe rafiki sikujitambulisha kwa kweli vitumbua vyako ni shida toka enzi na enzi sijawahi kuona vitumbua vitamu kama vile
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
Mimi ni muuza dagaa tu
Basi kama ni muuza dagaa, lazima ukae hoteli yenye hadhi na pia yenye usalama. Mwanza hoteli ni nyingi sana na bei zao ni reasonable, usikae uchochoroni huko ni hatari kwa mali zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…