Shemeji yangu Raimundo

Basi kama ni muuza dagaa, lazima ukae hoteli yenye hadhi na pia yenye usalama. Mwanza hoteli ni nyingi sana na bei zao ni reasonable, usikae uchochoroni huko ni hatari kwa mali zako.
Mbona niliambiwa hiyo gesti ina usalama na ni karibu na mwaloni. Naambiwa watu ya DRC huipenda na bei yake ni reasobale less than 10,000/=
 
Mbona niliambiwa hiyo gesti ina usalama na ni karibu na mwaloni. Naambiwa watu ya DRC huipenda na bei yake ni reasobale less than 10,000/=
Sasa wewe ni m DRC?!
 
Mtindiga tu ila kuna wauza dagaa wenzangu toka DRC walikuwa wanaisifia
Usikae pale utaibiwa. Hata hao wa DRC sio watu wazuri. wanatabia ya kuonesha uaminifu kwa kipindi kirefu hadu unamuona muungwana lakini siku isiyo na jina anakuibia
 
Nilijua ulibadili jina JF tu kumbe hadi ofisini mkuu [emoji3] .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…