Shemeji yangu wa kike anakula sana mkaa

Shemeji yangu wa kike anakula sana mkaa

On Duty

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2020
Posts
566
Reaction score
1,083
Poleni na mihangaiko ndugu zanguni.
Hivi ni nini kinapelekea mtu kupenda kutafuna mkaa?
Na ni nini cha kufanya ili kuacha kutafuna mkaa?

Kuna huyu shemeji yangu wa kike yaani mdogo wake na mamaaenu(mke wangu) anatafuna mkaa kuliko kawaida. Hii kitu ameianza muda tangu hana Mtoto hadi sasa ana Watoto wawili na nusu(yaani ujauzito).

Sasa huyu shemeji anaomba ushauri namna ya kuacha hii kitu maana ameshakuwa addicted.

Nawasilisha:
 
Me pia nshakula sana mkaa
Ni addiction moja mbaya sana...
Ila pia mkaa ni mzuri kwenye kutoa sumu mwilini na kwenye weight loss
Yani unapunguza mwili hadi waweza sema mtu ni mgonjwa.
Nime gain uzito nataka nipungue
 
Poleni na mihangaiko ndugu zanguni.
Hivi ni nini kinapelekea mtu kupenda kutafuna mkaa?
Na ni nini cha kufanya ili kuacha kutafuna mkaa?

Kuna huyu shemeji yangu wa kike yaani mdogo wake na mamaaenu(mke wangu) anatafuna mkaa kuliko kawaida. Hii kitu ameianza muda tangu hana Mtoto hadi sasa ana Watoto wawili na nusu(yaani ujauzito).

Sasa huyu shemeji anaomba ushauri namna ya kuacha hii kitu maana ameshakuwa addicted.

Nawasilisha:
Dawa rahisi ya addiction, ni kutafuta addiction mpya yenye nafuu!
 
Kuna shangazi yangu anakula mkaa nilimshangaaga kweli, nikazani yeye tu, kumbe wapo wengi, mi nimezoea kuona watu wanakula udongo.
 
Ana upungufu wa madini hueanda ameshawahi kwenda hospitali?
Upungufu wa madini vs vitamins vs eating disorders/ psychological issues.

Mara nyingi huanza wakati wa ujauzito kutokana na mahitaji kuongezeka au kipindi lishe inapokuwa si nzuri.

Ni vyema kufika kituo cha afya ili kupata tiba sahihi baada ya mjumuisho wa kutambua tayizo la msingi.
 
Yaani mtu anakula tiba anajitibu unaona kero. Mkaa ni kiboko ya sumu zote za vyakula vya viwandani.
Google faida ya mkaa kiafya nawe utaanza dozi.
Kunywa juicy ya mkaa kila mara hospital kwako itakuwa kituo cha police.
 
Bila shaka ana jiko tumboni na atakua haja kubwa anatoa majivu.
 
Yaani mtu anakula tiba anajitibu unaona kero. Mkaa ni kiboko ya sumu zote za vyakula vya viwandani.
Google faida ya mkaa kiafya nawe utaanza dozi.
Kunywa juicy ya mkaa kila mara hospital kwako itakuwa kituo cha police.
Ifahamike sio kila mkaa huondoa sumu. Kuna mkaa kwa mfano wa miwati ni sumu sasa wewe kajichanganye ubwie utakuongezea speed ya kufa.
 
Me pia nshakula sana mkaa
Ni addiction moja mbaya sana...
Ila pia mkaa ni mzuri kwenye kutoa sumu mwilini na kwenye weight loss
Yani unapunguza mwili hadi waweza sema mtu ni mgonjwa.
Nime gain uzito nataka nipungue
Ulifanikiwaje kuacha?
 
Back
Top Bottom