Shemeji yenu anaficha pochi kwenye chumba cha mabinti wa kazi.

Shemeji yenu anaficha pochi kwenye chumba cha mabinti wa kazi.

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Wakuu napitia kipindi kigumu sana.

Baada ya mzazi kugeuka mtetezi wa wanangu.

Shemeji yenu amekua akiweka hand bag yake kwenye chumba cha mabinti wa kazi.

Nahisi mwanzo wa jambo la hatari.

Kwanini afiche hand bag.??
 
nenda kijiweni sasa hivi, vile vijiwe vya kahawa.
kunywa kahawa vikombe si chini ya 3. rudi home late night 22:30 na kuendelea. usiwe na hasira nae km kuna msosi kula kidogo, usiache kula.
kama kalala mwamshe myazungumze khs hii topic ya yeye kufanya anachofanya, asipokujibu kwa vizuri bembeza lilia papuchi itafune kihasira usiku kucha.
 
Back
Top Bottom