Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapokei dada wa kazi maana yule haaminiki, ni mhusika mwenyewe anajua ratiba ya kuwasiliana na watu wake ili hali jamaa yumo ndani. Nikwambieni kitu wandugu inawezekana kikawa ni cha kijinga sana ila ukizingatia hutoishi kwa tabu hata siku moja.Aisee kwa hiyo simu ikilia anapokea dada wa kazi halafu anapeleka ujumbe eti
Hawa viumbe wana mbinu zaidi ya shetani baadhi yao
Hapokei dada wa kazi maana yule haaminiki, ni mhusika mwenyewe anajua ratiba ya kuwasiliana na watu wake ili hali jamaa yumo ndani. Nikwambieni kitu wandugu inawezekana kikawa ni cha kijinga sana ila ukizingatia hutoishi kwa tabu hata siku moja.
Haya maisha usiwe serious kupitiliza muda wote.
Kama unaishi nae vileHapokei dada wa kazi maana yule haaminiki, ni mhusika mwenyewe anajua ratiba ya kuwasiliana na watu wake ili hali jamaa yumo ndani. Nikwambieni kitu wandugu inawezekana kikawa ni cha kijinga sana ila ukizingatia hutoishi kwa tabu hata siku moja.
Haya maisha usiwe serious kupitiliza muda wote.
Haya mambo basi unadhani yanataka rocket science kuyang'amua!Kama unaishi nae vile
😄 🤣
U have a long way to go. Oa ndio ujue maisha ni zaid ya hivyo unavyowaza Mdogo wangu .Hata ukimkaza mwanamke vizuri?
Ila una watoto?Nashukuru mungu kwa kuninyima moyo wa kutamani ndoa. I can't handle speculations
Je hio handbag inakuwa na simu huko ndani kwa Binti wa kazi? Au ana simu zaidi ya moja? Au handbag ameanza dosage ya ARV kimya kimya? Take care broWakuu napitia kipindi kigumu sana.
Baada ya mzazi kugeuka mtetezi wa wanangu.
Shemeji yenu amekua akiweka hand bag yake kwenye chumba cha mabinti wa kazi.
Nahisi mwanzo wa jambo la hatari.
Kwanini afiche hand bag.??
Na kweliHaya mambo basi unadhani yanataka rocket science kuyang'amua!
Unaweza kudadavua kidogo naona umejibu kibabe sana, a woman is an infinite being?🤣🤣🤣U have a long way to go. Oa ndio ujue maisha ni zaid ya hivyo unavyowaza Mdogo wangu .
Hand bag la mkeo lanini?Wakuu napitia kipindi kigumu sana.
Baada ya mzazi kugeuka mtetezi wa wanangu.
Shemeji yenu amekua akiweka hand bag yake kwenye chumba cha mabinti wa kazi.
Nahisi mwanzo wa jambo la hatari.
Kwanini afiche hand bag.??
Nina mtotoIla una watoto?
Huyu naanza kuamini kuna mahali Ana Anza ujenzi kimya kimya maana tukio la mama yake kupokea kiinua mgongo kalihusianisha na manunuzi ya kiwanja na ujenzi unaoendelea sasa nahisi risiti za manunuzi atakua anazificha humo.Amegundua kuwa akificha handbag yake chumba Cha house girl inakuwa salama zaidi kuliko akiiacha chumbani kwenu
una umri gani mzee baba!?Nielezee , mi najua ukipiga shoo ya kibabe huachwi au wapo walioachwa?
ufundi unazidiana mkuu...wanaume wengine hawajui hawabembelezi..Hii kitu mbona kama haiwezekani, kwanini achepuke wakati huku anakojoa ?
Au ni tabia, au ni wanawake wote?
ndo ishatoka hiyo.Huyu naanza kuamini kuna mahali Ana Anza ujenzi kimya kimya maana tukio la mama yake kupokea kiinua mgongo kalihusianisha na manunuzi ya kiwanja na ujenzi unaoendelea sasa nahisi risiti za manunuzi atakua anazificha humo.
kwa kweli, nimeona nisipite hii pointi kubwa sanaMaisha ya ndoa ni zaidi ya mikazo
Isikute ana mdildo anauficha humo..🤣Hapana mkuu,
Ila nimeanza kupata mashaka tu na movements zake za hivi karibuni.