Huu ushauri ni hatari sana Kwa afya ya mtumiaji kuliko hata ukatili wa putinWewe sitisha uhusiano naye na umuwekea vikwazo vya kiuchumi, halafu sisi nchi za kisovyeti tuje tumchukue na tuweke makoloni kwake.
Usisitishe mahusiano. Kila mtu ana haki ya kuchagua upande kutokana na vitu gani anavyovijua au anavyoviamini. Wewe muulize kwanini ame side na "Putin", akikupa sababu zake kama yupo wrong mwelekeze.Naombeni ushauri wenu kabla sijachukua hatua kali za vikwazo vya kila namna dhidi yake ikiwa ni pamoja na kusitisha kabisa mahusiano.
Usisitishe mahusiano. Kila mtu ana haki ya kuchagua upande kutokana na vitu gani anavyovijua au anavyoviamini. Wewe muulize kwanini ame side na "Putin", akikupa sababu zake kama yupo w
Umeona mbali sana maana hata mimi nilishaona dalili za kusalitiwa toka mwanzo kabisa vita vilipoanza.hapo hamna cha russia wala nn
nikwambie tu ukweli amempenda putin..
jiongeze😀😀
Umeona mbali sana maana hata mimi nilishaona dalili za kusalitiwa toka mwanzo kabisa vita vilipoanza.