Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaume wababe km putin wanajuaga Sana mambo😜hapo hamna cha russia wala nn
nikwambie tu ukweli amempenda putin..
jiongeze😀😀
Yaani wifi yangu yeye ndiye mwenye nuclear bombs wewe subiri aziweke kwenye high alert na akizitoa lazima akuangamizeWewe sitisha uhusiano naye na umuwekea vikwazo vya kiuchumi, halafu sisi nchi za kisovyeti tuje tumchukue na tuweke makoloni kwake.
Mkuu,kumbe wewe huwa ni mwanamke?nikajua dumeYaani wifi yangu yeye ndiye mwenye nuclear bombs wewe subiri aziweke kwenye high alert na akizitoa lazima akuangamize
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapo hamna cha russia wala nn
nikwambie tu ukweli amempenda putin..
jiongeze[emoji3][emoji3]
Tena yuko bachelor huyo Putin [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanaume wababe km putin wanajuaga Sana mambo[emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]UPDATES:
Wakuu kuna jambo limetokea mida ya ijioni leo.
Sasa ile jana, akanitumia clip fake eti Rusia wameiteka capital city ya Kyiv.
Nikapandwa na hasira nikamfuata jikoni maana alikua anaandaa diner nikamkuta huko na junior wetu nikaazimia kumshikisha adabu ili familia nzima watambue mamlaka yangu
Sasa ile narusha kofi moja zito kwa spidi ya umeme akaliona kumbe nilisahau kwamba nilimpeleka mafunzo ya karate ili kuimarisha ulinzi wa nyumbani.
Kwakua kofi lilikua zito sana niliyumba na kuangukia masufiria pale jikoni.
Junior akawa anacheka tu kuwa dady yake nimeangukia masufuria.
Nimeamua kukata mawasiliano ya huduma muhimu kwake.
1. Hakuna tena fedha ya saloon.
2. Sitaacha kodi ya meza . nitakua natoka na junior kupata chakula na junior akibaki nyumbani nitamuagizia chipsi.
3. Nimehamia chumba cha wageni rasmi.
4. Nimempiga marufuku kuwa karibu yangu umbali wowote ule ambao utasababisha nipate hisia nae.
5. Nimemblock wassap ili asinitumie ma clip yake.
Hayo ndio maamuzi yangu kwa sasa labda mnishauri zaidi ili kuboresha adhabu yangu.
mim nitamuoa sababu mim pia namsuport putinWakuu Dunia nzima ikiungana dhidi ya Putin
Jambo la kushangaza sana ni kuwa shem wenu anamsupport kwa moyo mweupe.
Ni jambo la kusikitisha kwamba kwa jinsi alivyo anasupport ukandamizaji wa haki na uhuru kwa kiasi hicho.
Haachi kunitumia picha na clip za warusi.
Naona kama atawafundisha wanangu ukatili kama wa putin.
Naombeni ushauri wenu kabla sijachukua hatua kali za vikwazo vya kila namna dhidi yake ikiwa ni pamoja na kusitisha kabisa mahusiano.
Nilijua hii itakuwa comment ya mwanamkeUsisitishe mahusiano. Kila mtu ana haki ya kuchagua upande kutokana na vitu gani anavyovijua au anavyoviamini. Wewe muulize kwanini ame side na "Putin", akikupa sababu zake kama yupo wrong mwelekeze.