Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Siku hiyo ndio nawahi kulala na dada yao mapemaaa. Nawaachia remote na beers za kutosha wakeshe wanaangalia EPL mapa asubuhi wapunguze machungu ya kugongewa dada
 
Yaani aje mdogo ake wife wa kiume mmoja au kaka yake, unafika muda wa kulala namuaga wife leo nitalala na mdogo ako?? NEVER... ndo anakaa week kwangu week nzima nilale na shemeji yangu na mke wangu nimuache alale mwenyewe??? Nmekuelewa apo kwenye kutoka nao/nae sawa ila sio kulala mkuu
 
Mtoa ushauri ni MENDE mtukuka, unategemea anakushauri nini hapo
 
Fikiria ndo wewe unaenda mji fulan kwa ishu zako,, unaona bora ulale kwa dada ako kwa kipindi hicho
Kama shemeji yako ni rafiki yako mnaweza ku-spend the whole night talking politics, sports, economics na mambo mengine kadha wa kadha. Siku moja tu na sio siku zooooote...
 
Fikiria ndo wewe unaenda mji fulan kwa ishu zako,, unaona bora ulale kwa dada ako kwa kipindi hicho, alafu mumewe unafika muda wa kulala anakwambia "Leo shemeji tutalala pamoja"😂😂😂
Sio shemeji, yule ni mwana (a brother)
 
kama ulikuwa hutaki majibu ya namna ile ni bora usingejiunga JF na haifichi ukweli kuwa ulichoandika ni rubbish utagunduaje?? angalia mawazo ya wachangiaji.
JF ina members zaidi ya 500,000 siwezi kuandika suala la kumfurahisha kila member mzee baba.
 
kama ulikuwa hutaki majibu ya namna ile ni bora usingejiunga JF na haifichi ukweli kuwa ulichoandika ni rubbish
Mkuu, kama ni rubbish si unaondoka tu mzee baba kabla sijakuweka ignore list. Kwani ugumu upo wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…