Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Mambo vp jamiiforums.

Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni.

Just imagine, kwa akili ile ya kitoto unajua kabisa huyu ndio anataka kumchukua dada yangu aende naye kwake awe analala naye siku zote for the rest of their lives. Huwaga kunakuwa na hali fulani hivi ya wivu kwa siku za kwanza ile baadae unaona kawaida tu na maisha yanaendelea.

Kuna watu watakuwa wanajiuliza wivu huu unatokea wapi wakati huyu ni kaka na dada yake na kamwe hawawezi kuoana. Wakaka wengi wanakuwaga na wivu na dada zao na mara nyingi jaribu kuangali watoto wakubwa wa kiume wanavyowachapa wadogo zao wa kike.

Huwa wanawachapa pindi wakisikia wadogo zao wapo katika uhusiano na vijana fulani wa mtaani hapo ambao ni washkaji zao wanaokaa wote vijiweni au siku dada mdogo amechelewa kurudi nyumbani bila maelezo ya kutosha. Hiyo ni aina ya wivu wa asili ambao wanaume wengi huwa nao dhidi ya ndugu zao wa kike wakiwa katika uchumba na shemeji zao.

BACK TO THE TOPIC
=====
Ewe kijana ambaye bado haujaoa mpaka sasa, siku utakapooa, shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao. Kalale nao chumba kimoja mpige story mpaka asubuhi.

Kama wao ni watu wa tungi kama wewe, siku hiyo nunua beer, choma nyama, kunyweni mlewe, msikilize mziki. Kama ni watu wa mpira, wachukue uende nao sehemu wanayoonesha mpira tofauti na hapo kwako.

Nenda nao hata huukoooo city center Kariakoo/Posta, angalieni mpira kula nao nyama choma, inelata raha na heshima sana. Unajua, unapoona katika familia fulani, wewe unakuwa ni sehemu ya familia ile. Hivi wewe kijana unalijua hili?

Kama mama mkwe wako ana watoto 3 wa kiume, basi wewe kama shemeji wa familia ile unakuwa mtoto wake wa 4. Kwa hiyo wale shemeji zako wa kiume wanakuwa brothers to you.

Wanakuwa brothers alafu washkaji zako, tena kama umri unalingana ndio raha zaidi kwa maana hata stories pamoja na interests zinaweza kufanana kwa sehemu kubwa.
Nasema ukweli mbele za mungu mpaka sasa aliemwoa dada yangu tangu siku ya harusi yao nishiriki tena kwa kushinikizwa huwa sipatani nae na hatujawahi onana kuanzia siku ile hadi anamulizaga sista amenikosea nini. Yaani simpendi na sijhi kwa nini hata sitaki kumwona.
Huu mwaka wa 5 tangu waowane. Na nimisikia anakuja home siku hiyo nachelewa makusudi kama siku aliokuja jitambulisha nilisacifi uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri kwa ndoa zinazofanyika hasa kwa heshima. Huu mtindo wa sasa wa shake well before use, umevuruga kila kitu kwenye jamii. Am I really talking!??? (Hivi tutatoka kweli!???)
 
Kwa kusoma heading tu, napinga kwa asilimia zote.

Haiwezekani wale mahali zangu, halafu nisimgegede!! Natakiwa nimgegede mpaka aseme "kaka msaada please, mgegedo huu wa motooo"
 
Nasema ukweli mbele za mungu mpaka sasa aliemwoa dada yangu tangu siku ya harusi yao nishiriki tena kwa kushinikizwa huwa sipatani nae na hatujawahi onana kuanzia siku ile hadi anamulizaga sista amenikosea nini. Yaani simpendi na sijhi kwa nini hata sitaki kumwona.
Huu mwaka wa 5 tangu waowane. Na nimisikia anakuja home siku hiyo nachelewa makusudi kama siku aliokuja jitambulisha nilisacifi uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kwelikweli. Kwa mtindo huu JPM aondolewe ukomo wa utawala ili akae madarakani miaka buku 5 na kuendelea huko
 
Je,wakati nipo nao bar au kumbi yoyote ya starehe,hasa ukizingatia umri wetu unaendana,hivyo hata stori hufanana

Je naweza ng'oa mlupo mbele yao
 
Hili sikubaliani nalo, mimi shemeji yangu ntamuacha sebuleni hata kama tunaangalia mpira halftime ninazama chumbani napiga kimoja ninarudi kuangalia
 
Acha ufala dogo..yani nilipe mahari wakija kwangu tena nikalale nao ili iweje ntalala na dada yao wajue kweli nilichokitole mahari nakitendea kazi..kama stori..nyama choma na mambo mengine sawa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Hiyo mahari umelipa shingapi wewe guluguja wa Tanganyika?

Anachozungumza mtoa mada ni kuhusu kujenga ustahimilivu kati yako na mashemeji.

Ni common decency tu. Nidhamu ya kawaida kabisa!

Hata kuoa hujaoa wewe. Umenyoa viduku hapo unatikisa makalio unadhani mwisho wa dunia ni chato!

Learn to be a decent human being! Itakusaidia.
 
Hakuna kitu kama hicho, heri wasije kabisa, boma yangu, mke wangu halafu nipangiwe nilale wapi na nani??!! Ujinga kabisa..
 
Hiyo mahari umelipa shingapi wewe guluguja wa Tanganyika?

Anachozungumza mtoa mada ni kuhusu kujenga ustahimilivu kati yako na mashemeji.

Ni common decency tu. Nidhamu ya kawaida kabisa!

Hata kuoa hujaoa wewe. Umenyoa viduku hapo unatikisa makalio unadhani mwisho wa dunia ni chato!

Learn to be a decent human being! Itakusaidia.
Unataka jamaa yako huyo awe decent all the while unamfurumuishia maneno mazito mazito utadhani uji wa madereva wa makatapila!???
 
Mambo vp jamiiforums.

Ninaomba kuanza kwa kutangua kusema maneno haya machungu ambayo yatawauma wanaume wengi sana. Hata mimi nilikuwa hivi hivi. Mwanaume wengi sana huwa hawawapendi shemeji zao wa kiume siku za mwanzoni.

Just imagine, kwa akili ile ya kitoto unajua kabisa huyu ndio anataka kumchukua dada yangu aende naye kwake awe analala naye siku zote for the rest of their lives. Huwaga kunakuwa na hali fulani hivi ya wivu kwa siku za kwanza ile baadae unaona kawaida tu na maisha yanaendelea.

Kuna watu watakuwa wanajiuliza wivu huu unatokea wapi wakati huyu ni kaka na dada yake na kamwe hawawezi kuoana. Wakaka wengi wanakuwaga na wivu na dada zao na mara nyingi jaribu kuangali watoto wakubwa wa kiume wanavyowachapa wadogo zao wa kike.

Huwa wanawachapa pindi wakisikia wadogo zao wapo katika uhusiano na vijana fulani wa mtaani hapo ambao ni washkaji zao wanaokaa wote vijiweni au siku dada mdogo amechelewa kurudi nyumbani bila maelezo ya kutosha. Hiyo ni aina ya wivu wa asili ambao wanaume wengi huwa nao dhidi ya ndugu zao wa kike wakiwa katika uchumba na shemeji zao.

BACK TO THE TOPIC
=====
Ewe kijana ambaye bado haujaoa mpaka sasa, siku utakapooa, shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao. Kalale nao chumba kimoja mpige story mpaka asubuhi.

Kama wao ni watu wa tungi kama wewe, siku hiyo nunua beer, choma nyama, kunyweni mlewe, msikilize mziki. Kama ni watu wa mpira, wachukue uende nao sehemu wanayoonesha mpira tofauti na hapo kwako.

Nenda nao hata huukoooo city center Kariakoo/Posta, angalieni mpira kula nao nyama choma, inelata raha na heshima sana. Unajua, unapoona katika familia fulani, wewe unakuwa ni sehemu ya familia ile. Hivi wewe kijana unalijua hili?

Kama mama mkwe wako ana watoto 3 wa kiume, basi wewe kama shemeji wa familia ile unakuwa mtoto wake wa 4. Kwa hiyo wale shemeji zako wa kiume wanakuwa brothers to you.

Wanakuwa brothers alafu washkaji zako, tena kama umri unalingana ndio raha zaidi kwa maana hata stories pamoja na interests zinaweza kufanana kwa sehemu kubwa.

Paragraph ya uzalendo iko wapi?
 
Hiyo mahari umelipa shingapi wewe guluguja wa Tanganyika?

Anachozungumza mtoa mada ni kuhusu kujenga ustahimilivu kati yako na mashemeji.

Ni common decency tu. Nidhamu ya kawaida kabisa!

Hata kuoa hujaoa wewe. Umenyoa viduku hapo unatikisa makalio unadhani mwisho wa dunia ni chato!

Learn to be a decent human being! Itakusaidia.
Duh JF balaa!
 
Back
Top Bottom