Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Shemeji azoewii bro!Cha kwanza utakuwa huna akili kupinga story au ki kwenda viwanja na mashemeji yawezekana mkalewa mkaaza kushikashika ma bar medi itakuwaje?shemeji muheshimu nae aku heshimu over
Mkuu, kwa hiyo wewe shemeji yako wa kiume hawezi kuwa mwana?
 

Tena siku hiyo ndo nitamnyandua kwa mbwembwe zooote hili kaka zake wasikie. Tena shemeji zangu nitawalaza chumba ambacho aki scream sauti inawafikia vizuri kabisa ili wajue dada yao namtendea haki.
 
Tatizo ukitoka na shemeji zako ukifika kiwanjani ukiita demu wanakutolea macho sana wanahisi unamuua dada yao

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Mimi Kweli nianze mazoea hadi ya kutoka out na bwaa shemeji au nije kulala kwenu kweliiii 😁 Carleen
πŸ˜‚ πŸ˜‚
Kutoka out , na kufanya hobbies pamoja nami naunga mkono hoja, ila kitendo cha kulala chumba kimoja? Hapana kwakweli, mfano unakuwa karibu na Dee' si mtanichambua mpaka nikufe..!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…