Shemeji zako wa kiume wakija kukutembelea, siku hiyo usilale na dada yao (Mke Wako). Kalale nao chumba kimoja

Nimechumbia.
Nimelipa mahari
Nimeoa (Nikapewa kibali rasmi cha kuipiga kihalali)

Eti kisa shemeji umekuja home nisilale na mke wangu, hebu kuweni serious basi!! Tena ukute na mtoto kashanizalia.[emoji3]

Hawa wakwe zangu tu wanajua kuwa mtoto wao anapapaswa.
 
Niliwahi kukusoma mahali ukasema wewe ni Mjaluo, nadhani pengine kuna Norms na Customs zenu wajaluo zinaruhusu hivyo ila kwa sisi Wasukuma ni marufuku kuwa na mazoea na shemeji hasa wa kiume au mkwe wa kike kuwa na mazoea nae.
 
Niliwahi kukusoma mahali ukasema wewe ni Mjaluo, nadhani pengine kuna Norms na Customs zenu wajaluo zinaruhusu hivyo ila kwa sisi Wasukuma ni marufuku kuwa na mazoea na shemeji hasa wa kiume au mkwe wa kike kuwa na mazoea nae.
Shemeji wa kiume ni rafiki mkuu
 
nimejitahid kufikiria applicability yake katika maisha halisi nmeshindwa aisee
 
Fikiria ndo wewe unaenda mji fulan kwa ishu zako,, unaona bora ulale kwa dada ako kwa kipindi hicho, alafu mumewe unafika muda wa kulala anakwambia "Leo shemeji tutalala pamoja"[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ktk maisha yangu kitu ambacho siwezi, Ni kwenda aliko olewa dada, sijui wengine wanawezaje lol. Kwanza hakuna mazoea kati ya mtu na shemejie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…