Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nawapenda sana mademu wa kijaluo black beutySahihi kabisa mkuu...
shemeji yako wa kiume anaweza kuwa swahiba?nawapenda sana mademu wa kijaluo black beuty
kama kamuoa dada angu kiroho safi fresh tushemeji yako wa kiume anaweza kuwa swahiba?
[emoji3][emoji3][emoji3]Nikiwa kama mke! Hao Kaka zangu after stories na hizo nyama choma, watalala chumba chao mimi nalala na mume wangu bana. Yaani why akalale nao huko? No
Black Beauty kama Sudani Kusini ingawa siku hizi wengi wanajichumbua sana mkuunawapenda sana mademu wa kijaluo black beuty
wanazunguaaaaBlack Beauty kama Sudani Kusini ingawa siku hizi wengi wanajichumbua sana mkuu
Mzee wa vinukta nukta
Achana na ushauri wa huyo jamaa. Anakupotosha huyo mkuuKwanini?
Una uhakika?Mkuu, wewe si ndio mwaka jana ulianzisha mada humu kuwa mdogo wako wa kike akichelewa kurudi home ulikuwa unamchapa?
Wapotoshaji wamejaa sana humu kwenye forum siku hizi wakiongozwa na wewe Soja mwenyeweAchana na ushauri wa huyo jamaa. Anakupotosha huyo mkuu
Nione mimi alafu uone kama nitaruhusu unifanye mbele ya kaka zangu. mxiiieewwSiku nikioa alaf shemeji zangu wa kiume wakija kunisalimia siku hiyo ndo ninanunua karanga kilo, nazi 3, mihogo mibichi 2, tikiti maji vipande 2, alkasus mujarabu pembi yaani siku hiyo ndo ninamkaza vizur dada yao ili tuheshimiane
Sio poa kufanyana mbele ya mashemejiNione mimi alafu uone kama nitaruhusu unifanye mbele ya kaka zangu. mxiiieeww
Hana adabu huyo jamaaSio poa kufanyana mbele ya mashemeji
Adabu ni pamoja na kuwaheshimu wakwe zako kwa maana wao ndio wamekuzalia mke/mume.Hana adabu huyo jamaa
Ninampenda sana mama mkwe wanguAdabu ni pamoja na kuwaheshimu wakwe zako kwa maana wao ndio wamekuzalia mke/mume.
Unamsingizia Soja wangu bhana. Jamaa hanaga hizo swagger za kutunga fixWapotoshaji wamejaa sana humu kwenye forum siku hizi wakiongozwa na wewe Soja mwenyewe