Shenzhen China: Ulaji wa Paka na Mbwa wapigwa marufuku katika jitihada ya kuzuia Corona

Shenzhen China: Ulaji wa Paka na Mbwa wapigwa marufuku katika jitihada ya kuzuia Corona

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
1582714671120.png


Wanyama hawa ambao ni haramu hata kibibilia wamesadikiwa kuchochea janga hili.
Pia wanamkakati wa kuongeza list zaidi ya wanyama mwitu,kufugwa na watambaao.

Tabia ya kulakula nyama za mwitu akiwemo paka miaka 17 iliyopita ilipelekea vifo vya watu zaidi ya 8000

Source: South China Morning Post

====
My take:
Bibilia inasisitiza tulipaswa kula Mbogamboga za kondeni, ila baada ya gharika nyama ikawa sehemu ya chakula cha mwanadamu.

Pia sio kila nyama Mungu aliweka mipaka hapohapo baada ya gharika na kufafanua ktk kitabu cha mambo ya walawi.

Lakini mafundisho ya Wasabato yanaonya kuwa Bado ktk siku hizi za mwisho nyama yoyote inaweza isiwe chakula salama kwa mwanadamu. (labda nyama halali uliyonaufahamu nayo).

Hatari kubwa inayosema ni kutiririka kwa magonjwa ya wanyama kuingia kwa wanadamu. Hiki ndicho tunakiona kila kukicha.

Tunaweza kudharau, kupuuzia na kutojali maelekezo ya Mungu lakini hatuwezi kukwepa matokeo ya kutojali na kupuuza maelekezo hyo.
 
Mbona ata ng'ombe nao wanakua na lift valley.... Kuku kuna mafua ya ndege... Je! Hao wanyama nao tusiwale!?

Binafsi naona hoja yako ni nyepesi mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hivi kabisaa mtu anaenda restraurant eti anaagiza supu ya Paka/Paka Choma seriously ? Mmh!
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hakuna nyama najisi, omba uishi miaka mingi Tanzania itafika hiyo, maana kadri chakula, samaki na nyama vinapozidi kuwa hadimu utakula chochote labda utaacha mawe tu


Sasa si mpaka tufikie huko it means ni nje ya uwezo wetu ila wanyama wote hawa tuliojaaliwa mtu anaacha anaenda kula Paka/Popo? Big NO, acha Corona iwatie akili.
 
Mbona ata ng'ombe nao wanakua na lift valley.... Kuku kuna mafua ya ndege... Je! Hao wanyama nao tusiwale!?

Binafsi naona hoja yako ni nyepesi mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
ukisoma vzr utagundua hata hii scenario nimeielezea.

ndio maana hujawahi kusikia virus au mlipuko wa magonjwa.

Muda sio mrefu Kama bado hhaujafika ulaji wa nyama hautakuwa kipaumbele cha mwanadamu anayejitambua.

hii ni undebatable fact mkuu
 
Back
Top Bottom