Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Nchi nyingi watu wanakula tu, mfano Congo wanakula nyani, ngedere, mbwa, nkSasa si mpaka tufikie huko it means ni nje ya uwezo wetu ila wanyama wote hawa tuliojaaliwa mtu anaacha anaenda kula Paka/Popo? Big NO, acha Corona iwatie akili.
madhara yake kama sio Sasa bdae kukitokea mlipuko wa mgonjwa yadiyofahamika Kwa nyani Basi mlaji anakuwa muhanga wa kwanza wakati Ktk ulimwengu wa magonjwa ya binadamu gonjwa Hilo halimo. itachukua miaka kupata dawa wakati watu wanapukutika Kwa magonjwa yaliyowastahili wanyama.Nchi nyingi watu wanakula tu, mfano Congo wanakula nyani, ngedere, mbwa, nk
Hayo magonjwa yanatengenezwa na Wakubwa duniani kwasababu wanazozijua wao, ubakumbuka 2007-08 homa ya bonde la UFA ilivyo maliza mifugo na baadhi ya wanayama pori? Kwahiyo usidhani kutokula hao wanyama kunakuweka salama, Wazungu wakiamua kutengeneza ugonjwa hata Michele au unga wa mahindi mnaweza mkauona ni laaana kwenumadhara yake kama sio Sasa bdae kukitokea mlipuko wa mgonjwa yadiyofahamika Kwa nyani Basi mlaji anakuwa muhanga wa kwanza wakati Ktk ulimwengu wa magonjwa ya binadamu gonjwa Hilo halimo. itachukua miaka kupata dawa wakati watu wanapukutika Kwa magonjwa yaliyowastahili wanyama.
subiri hadi usikie mtu anaumwa mdondo
Ndio Maana MUNGU Haja Acha Kitu Akasema Kabisa Kama Kutakua Nasababu Ambayo Inaweza Ikakupelekea Wewe Kufa Kwasababu Ya Kukosa Kula Basi PAKA MBWA NGURUWE Peleka Ili Tu Usife Ila CHINA Hawana Shida Na Nyama Wala Mboga Mboga Nahawana Janga Lanjaa Sema wanapenda Kulakula HovyoHakuna nyama najisi, omba uishi miaka mingi Tanzania itafika hiyo, maana kadri chakula, samaki na nyama vinapozidi kuwa hadimu utakula chochote labda utaacha mawe tu
Thibitisha otherwise ni Habari za njama tu (conspiracy theories)Hayo magonjwa yanatengenezwa na Wakubwa duniani kwasababu wanazozijua wao, ubakumbuka 2007-08 homa ya bonde la UFA ilivyo maliza mifugo na baadhi ya wanayama pori? Kwahiyo usidhani kutokula hao wanyama kunakuweka salama, Wazungu wakiamua kutengeneza ugonjwa hata Michele au unga wa mahindi mnaweza mkauona ni laaana kwenu