Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wakiumwa wanataka tuwachangie gharama za matibabu wapumbavu sana hawa.Nashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake
Arobaini siyo sherehe ya kiimani najua utasema ya waislamu siyo kweli tutajie aya ulikoitoa hiyo arobaini. Arobaini ni mila Fulani Mimi nafananisha na ushirikina hivyo hata wangetambika uchi sawa tuNashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake
Kwa style hii tutailamu bure ccm, umaskini hauwezi kuisha kama nchi ina raia wengi wajinga kiasi hiki wanaondekeza mambo ya kipuuzi kama haya.
Unajua jamaa haujielewi aisee hivi maswala ya arobaini ni dini au duwaa? Unaweza kuthibitisha kutoka katika vitabu vya dini kwa kutaja aya inayozungumzia arobaini? Au unafuata mkumbo? Mambo ya arobaini ni mila tu na utaratibu kwa hiyo sioni kwamba kunahitajika heshima au kitu chochote wapo sahihi na hakuna walichokosea.
Nashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake
Hahahahaha yaani...mbona wenzie akina odama walipendezaKama anataka kupaa
Mnaosema arobaini ni sherehe ya dini leteni haya hapa. Mimi miaka yote naona wazee wa mila kule vijijini ndiyo wanashikiria arobaini wanapika pombe na kunyweshana pamoja na kutambika matambiko ya kimila. Ukiniambia ni ya dini ni lazima unithibitishie kutoka kwenye aya ya vitabu vya dini na unipe tofauti kati ya arobaini ya matambiko vijijini na hiyo ya dini ili nielewe. Bila hivyo Zamaradi yupo sahihi.Haya