Sherehe ya 40 ya Mtoto wa Zamaradi Mketema

Kweli kabisa arobaini haihusiani na mambo ya dini
Kuna watu wanaojifanya wanaijua dini wanataka kutupotosha hapa kwamba ya dini ya dini ipi? Kule Mbeya kwa wakristo watupu rungwe wanafanya matambiko ya arobaini, ukija huku pwani walikojaa waislamu nako wanafanya arobaini, ukienda kwa wasio na dini nao wanafanya arobaini. Ukifukunyua kwenye vitabu vya dini huioni. Hebu tupeni hizo aya mtufundishe arobaini ya dini ipoje?
 
Eeeh Zama nae labour imempenda
Haswaa huyu Sasa n wa 3

Huyu dem nlikua namkubali sana
Ila aliniboa alivomchongea mwenzake
Dinna akatoka clouds

Ndo nkaamin papaa inanguvu
Kweli haswaaa
 
Dini ni nini Kwani mkuu? Je unataka kusema ni uislamu na Ukiristo tu ndio dini?
 
Milly alimuumbua kuanzisha grup watsup na kulazimisha watu wachangie hio arobain looh zama alipanic balaa
Niliona zama alipanic hatari. Sema Zama hela ipo bwana itakua kina Aunt ndo walileta vimbelembele vya kuchangisha
 
Unajua kuhusu Aqiqa?
Aqiqa? Sasa hicho kinachoitwa arobaini ndiyo aqiqah? Unajua kiutaratibu ni siku ya ngapi baada ya mtoto kuzaliwa? Huo utaratibu wa arobaini siyo aqiqa ni utaratibu wa wapagani wazee wa mila kule kijijini na yote yanayofanywa ni yale ya kimila ndiyo maana hata muda wa kufanya hauna justification kiufupi ukienda nchi za kiislamu ukaona hiyo aqiqa inavyofanywa na hiyo arobaini ni mbingu na ardhi.
 
Eeeh Zama nae labour imempenda
Haswaa huyu Sasa n wa 3

Huyu dem nlikua namkubali sana
Ila aliniboa alivomchongea mwenzake
Dinna akatoka clouds

Ndo nkaamin papaa inanguvu
Kweli haswaaa
Mwenzetu ana umbo zuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…