hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Yaaani ametoka kama KAHABAShamsa kaharibu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaani ametoka kama KAHABAShamsa kaharibu [emoji23][emoji23]
Hata hayo matambiko ni dini mkuu sema tu waarabu na wazungu walivyoleta uislam na ukristo wakazifanya dini zetu si chochote si lolote hivyo hata hiyo ya zamaradi ni sherehe ya kidini (aina ya matambiko na ndio maana sijawaona masheikh wala maaskofu kwenye hizo picha)....by the way mie sio muislam ila uswahilini tunapokaa tumezoeshwa hasa kwa waislam mtoto akifikisgha 40 wanaitwa watu wa madrasa inapigwa dua na chai na maandazi wengine na mpunga kidogo siku inapita.Kuna watu wanaojifanya wanaijua dini wanataka kutupotosha hapa kwamba ya dini ya dini ipi? Kule Mbeya kwa wakristo watupu rungwe wanafanya matambiko ya arobaini, ukija huku pwani walikojaa waislamu nako wanafanya arobaini, ukienda kwa wasio na dini nao wanafanya arobaini. Ukifukunyua kwenye vitabu vya dini huioni. Hebu tupeni hizo aya mtufundishe arobaini ya dini ipoje?
daah of corse hatami naona wema so mchezoNamuona Wema hapa, amependeza
Ni sindanoHuu Nao Uzi? [emoji23] [emoji28]
sijakuelewaNi sindano
Nimemjibu huyo alouliza kama ni uzi.sijakuelewa
Ndio maana jamaa nimuliza anajua maana ya dini? Sasa kama ni Mila zetu ndio useme sio dini.. Mzungu kavuruga kweli akili zetu , Ni ujunga tu kuona kila kilichofanywa na Babu zetu kukipuuzaHata hayo matambiko ni dini mkuu sema tu waarabu na wazungu walivyoleta uislam na ukristo wakazifanya dini zetu si chochote si lolote hivyo hata hiyo ya zamaradi ni sherehe ya kidini (aina ya matambiko na ndio maana sijawaona masheikh wala maaskofu kwenye hizo picha)....by the way mie sio muislam ila uswahilini tunapokaa tumezoeshwa hasa kwa waislam mtoto akifikisgha 40 wanaitwa watu wa madrasa inapigwa dua na chai na maandazi wengine na mpunga kidogo siku inapita.
Labda swali la kuuliza hapa kama sio sherehe ya kidini na ni sherehe ya kawaida ya kutoa mtoto, kwanini mpaka amtoe siku ya 40 na si 30 ama 20 ama siku 60 kabisa
Punguzeni upambe tafuteni kazi za kuwaingizia vipato vyenu, mtabeba mapochi ya wanawake wenzenu mpaka lini?Am so happy and proud of Zamaradi...keep grinding baby
Huyu Zamaradi ni mweusi (rangi nzuri) lakini anapenda sana aonekane mweupe, sijui kwa nini.
Nashangaa kweli sherehe ya kiimani kuwa ya kidunia. Sema kapigia mahesabu hela hapo mkuu maana anajua mastaa wanapenda sifa watashindana kumtunza wakati yeye anarudisha gharama zake
Hao sio masikini.
Le Mutuz nae yupo?
Alikuwa na hako kamchezo hata kabla hajachezewa na RugeShe has a low self esteem baada ya kuchezewa sana na Ruge.
Eeeh Zama nae labour imempenda
Haswaa huyu Sasa n wa 3
Huyu dem nlikua namkubali sana
Ila aliniboa alivomchongea mwenzake
Dinna akatoka clouds
Ndo nkaamin papaa inanguvu
Kweli haswaaa
Hivi zamaradi huu mjengo kajenga kwa msaada wa nani jamani
Aliyeshona gauni ya shamsa hatouona ufalme wa mungu
We Ruge nini sio kwa povu hiliPunguzeni upambe tafuteni kazi za kuwaingizia vipato vyenu, mtabeba mapochi ya wanawake wenzenu mpaka lini?
Sio kweli ...Zama been always dark na ana ngozi nzuri...angependa weupe angejikoboa muda sanaShe has a low self esteem baada ya kuchezewa sana na Ruge.
Shamsa kaharibu [emoji23][emoji23]