samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,602
- 4,811
nina maana alipofika kwa Salma angemkumbatia na kumpa mabusu yenye bashasha, mbwembwe na madoido
[/QU
preta angefanya hivyo vimada vyake vingenuna!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina maana alipofika kwa Salma angemkumbatia na kumpa mabusu yenye bashasha, mbwembwe na madoido
[/QU
preta angefanya hivyo vimada vyake vingenuna!
niko siriaz mjue....halafu sijui wenzangu mnaona ninachokiona mimi kwenye hii shughuli nzima?...kuna vitu kama vi3 ambavyo sivielewi
hiyo ilinipita juu kwa juu....niletee tafazali
huh .......hivi kila afanyacho Obama ndo kimekuwa s.i. unit?
makubwaa!nina maana alipofika kwa Salma angemkumbatia na kumpa mabusu yenye bashasha, mbwembwe na madoido
[/QU
preta angefanya hivyo vimada vyake vingenuna!
Umechanganya kidogo hapo!.Kiarabu huwa kinatoka kulia kwenda kushoto.
Una mawazo mazuri lakini siku zote huvai vizuri.
Naona wanampa maji asije akaanguka jamani maana hata mie nina wasiwasiI'm worried - hil jua na joto la Dar es Salaam Kikwete anaweza kwenda "down"!
kikwete kaanzia kuhutubia yake ya kwanza kwenye kipindi hiki kipya na kaanza kwa kusema
watanzania Oyeee