Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

Tetesi: Sherehe za kupokea matokeo ya sensa zimetumika Billion 6

Utamaduni wa shughuli katuachia mwendazake, tushakuwa kama wazalamo kila uchao shuuli.
Usipomtaja huoni raha??? Hzo shughuli mlikuwa mnafanyia chumbani kwako mpaka uzijue wewe tu???? [emoji15] Punguza nongwa
 
Mwendazake alikuwa akiagiza ndege moja anaita viongozi wa nchi nzima as if ndege moja ndiyo perfonamce ya nchi., Ile report ya makininika kaita viongozi wote lakini leo imekuwa proved rubish. hadi imezaa trap na na na na na na na na na Trat.
Kama akili yako inafananisha kupokea ndege na kutoa matokeo ya sensa aki hyo kichwa yako itakuwa ni mzigo tu kwa mwili wako bora uitupe
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Hata mimi imenishangaza sana...

Hawa viongozi kuanzia Rais hadi chini ni kana kwamba hawajui taabu na shida wanazopitia wananchi; ukame, ukosefu wa umeme na maji, hali ngumu ya uchumi iliyopelekea kupaa kwa bei za huduma na chakula nk nk...

Majibu ya viongozi hawa siku zote ni "hali ya dunia nzima" au "vita ya Urusi na Ukraine" au "ukosefu wa fedha ktk nchi" na mengine ya namna hiyo. Lakini HII SI KWELI HATA KIDOGO...

Cha ajabu tukio ambalo Rais angeweza kulifanyia Ikulu pasipo kutumia hata senti na dunia nzima ikaelewa kila kitu kwa namna ileile, cha ajabu tukio hilohilo linatengenezewa mazingira ya kula 6bn kwa masaa 3 tu ili mradi tu baadhi ya viongozi waibe kupitia tukio hilo..!

HII HAIKUBALIKI KAMWE KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU...!!

Hivi tujaribu kufikiri, 6bn ingeweza kutatua changamoto ngapi iwapo ingeelekezwa kwenye matatizo ya wananchi...??

HAPANA, HII SASA INATOSHA!!

KWA KWELI HAPA HATUNA VIONGOZI SAHIHI. HAPA TUNA SURA TU ZA BINADAMU LAKINI NDANI YAO WANA ROHO YA SHETANI AMBAYE NI MWIZI, MUUAJI, MTESAJI NA MHARIBIFU..

Ndugu zangu ni kweli kabisa kila mamlaka ya serikali ya nchi fulani iwe mbaya au nzuri, huwa ipo pale kwa kuruhusiwa na Mungu mwenyewe...

Lakini lazima pia tutambue kuwa, mamlaka inayoumiza watu inaweza kufa au kuondoka kwa kumuomba Mungu huyo huyo aliyeiruhusu kuwepo ili aiondoe au afute kabisa uwepo wake..
.

Mungu anasubiri wenye ufahamu wamwombee ili naye afanye. Ndugu zangu hebu tutimizeni wajibu wetu wa kiroho na kitume kuondoa tatizo hili...

Kumbukeni kuwa KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA..

SASA FUATANA NAMI KWENYE MAOMBI HAYA KWA UFUPI KWA WEWE KUTAMKA KAMA ILIVYO...

WEWE TAMKA TU KWA IMANI NA KISHA ENDELEA NA MAJUKUMU YAKO YA KILA SIKU. ANAYEFANYA ULIYOYATAMKA SI WEWE BALI NI MUNGU MWENYEWE KWA MAPENZI YAKE NA KWA WAKATI WAKE. YEYE HAWAHI WALA HACHELEWI KUTENDA. WEWE AMINI TU...!


Baba yetu uliye mbinguni katika Jina la Yesu
, natambua kuwa ni wewe ndiye uliyeiruhusu mamlaka ya serikali ya nchi yetu hii ya Tanzania iwepo kwa mapenzi na kusudi lako maalumu...

Aidha, natambua kuwa ni wewe tu pia ndiwe mwenye uwezo wa kuiondoa mamlaka ya serikali hiyo uliyoiweka mwenyewe pale inaposhindwa kutekeleza wajibu wake kwa watu wako...

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na kabla ya hapo Hayati John P. Magufuli imeshindwa kutimiza kusudi lako...

Watu wako wanataabika lakini viongozi wa serikali hii wanatumia raslimali ulizotupa vibaya kwa wizi, ufisadi na ubinafsi kwa sababu ya tamaa zao huku watu wako wakitaabika kwa kukosa maji ya kutumia, umeme, na huduma zingine muhimu zote za kijamii...

Baba yetu wa mbinguni, tunakuomba utuondolee laana na balaa lililosababishwa na dhambi za viongozi wetu hawa. Balaa la ukame, ukosefu wa maji na umeme, balaa la watoto wa mitaani na kumong'onyoka kwa maadili ya taifa letu. Mimi ........(taja jina lako) natubu dhambi zote za viongozi wa nchi yangu. Tusamehe Baba. Tumekosa baba. Utuhurumie na tupe REHEMA na NEEMA yako tena na nchi yetu ituzalie matunda yake tena...

Baba yetu uliye mbinguni, sikia maombi yetu tafadhali tunakuomba maana sisi ni watoto wako na kondoo wa malisho yako...

Kama ambavyo ulisikia kilio cha watu wako Israrel waliokuwa utumwani Misri katika mateso ya serikali na watu wa Farao, ndivyo unavyoweza kutusikia na sisi leo...

Israel walipokuomba na kukulilia, ulisikia maombi na kilio chako na kisha ukayaona mateso yao na ukawahurumia na hivyo ukasema utashuka toka mbinguni ili uwaokoe na kuwakomboa watu wako toka ktk mateso ya Farao...

Nami nakuomba leo. Nami nakulilia leo. Nami nakusihi leo uyaone mateso yangu na wananchi wenzake. Njoo utukomboe dhidi ya Farao wetu leo ambaye ni serikali hii ya sasa. Kwa nguvu na uwezo wetu hatuwezi. Bali kwa nguvu na uwezo ulio ktk Kristo Yesu, yote yanawezekana..

Asante kwa kunisikia. Asante kwa kunijubu. Asante kwa kunihurumia mimi na nchi yangu nzuri ya Tanzania..

KATIKA JINA LA YESU KRISTO, naomba na kushukuru. Ameen!!


Baada ya kuwa umeomba kwa kutamka maneno haya kwa imani, endelea na kazi zako za kila siku. Utaona mkono wa Bwana ukienda makuu. Wewe AMINI TU...

KWA WANADAMU HAYAWEZEKANI........LAKINI KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA.. Amini tu..
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Punguza chumvi billion 6 ?
 
Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Uko sahihi kabisa mkuu, ni tukio lisilo na mantiki kabisa
 
Utamaduni wa shughuli katuachia mwendazake, tushakuwa kama wazalamo kila uchao shuuli.
si kweli Mwendazake hakuwa mtu wa shughuli .hizi tabia ni za waswahili.wabara hawana tabia ya kupenda anasa bali wanapenda kuchapa kazi tu.
 
We bil 6, unaijua wewe.?

Nadhani hiyo ni pesa iliyotumika kwenye zoezi zima la Sensa. Sio sherehe ya jana tuu.

Ila bado serikali ina matumizi mabaya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wee, thubutu !!!
Fanya utafiti kidogo kabla ya kusema..

"MTAKWIMU Mkuu wa Serikali, Dk Albina Chuwa amesema Bajeti ya Sensa iliyopitishwa na Bunge la Bajeti 2022/23 ni Sh bilioni 400...

Dk Chuwa alisema fedha zote hizo zimetolewa na Hazina kutoka katika Mfuko Mkuu wa Serikali, wafadhili mbalimbali waliojitokeza walichangia katika kujengea uwezo wataalamu pamoja na kutoa vifaa vikiwemo vishikwambi..."

 
Ndio kawaida YA watu wa pwan wanaenda Sana sherehe, huku ninapoishi kila ijumaa wife analetewa sare YA harusi mpaka Kero yaan,.

Hangaya anawaharibia Sana wenzake ambao siku moja wangetamani kuongoza nchi.kutokea upande wake.
 
Na tujiulize hili tuu!

Unasheherekea Matokeo ya Sensa kwa lipi hasa?

Mimi nilidhani,baada ya kuyapokea,badala ya sherehe,wangeingia Site kujua hao watanzania milioni 61 wanaishije kwa sasa?

Wangapi wanayo furaha kama hao tuliowaona hapo kwenye jukwaa?

Huyu Mama wa kiswahili anatuongoza kiswahili swahili!

Kila siku "Minuso"

Nchi ya watu milioni moja,inaongoza nchi ingine ya milioni 60 population!

Aheri turudi TANGANYIKA ili tunyukane vizuri.
Ni sahihi kama watu mil 60 ni matahira, ni bora kuongozwa tu.
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Na bado kaunda kikosi kazi cha kuchunguza nishati safi ya kupikia
 
Kila siku uzinduzi. Kuna na kuweka jiwe la msingi. Yote haya hayana ulazima. Hata kupokea ndege, vichwa vya treni nk.
Barabara imejengwa, hospitali, shule vikikamilika vianze kutumika tu. Sherehe za nini.
Kwa mfano mbona wameruhusu sehemu ya flyover za Uhasibu na VETA kuanza kutumika bila sherehe?
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Hiyo ndio maana ya kuingiza pesa kwenye mzunguko kwenye uchumi, ada za shule zitalipwa, mafuta ya gari yatanunuliwa , wafanyakazi watapata mishahara, bili mbalimbali zitalipwa, kodi zitalipwa , pango zitalipwa, n.k, n.k.
Kibaya ni kukwapuliwa na mtu mmoja na kupelekwa nje ya nchi.
 
Utamaduni wa shughuli katuachia mwendazake, tushakuwa kama wazalamo kila uchao shuuli.
Shughuli za Mwendazake hazikuwa za minuso, yeye angeita waandishi wa habari ikulu, kamishina wa sensa akakabidhi makabrasha yake na kusepa zake
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Acha ujinga.Pumbavu.Kaoshe vyombo.
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
Weka majina ya Watanzania waliokufa kwa njaa Longido. Bizi threads za taharuki za Sukuma Gang tumezichoka
 
Kuna mtu kanitonya yuko jikoni kiasi kwamba Sherehe ya jana bajeti ni Billon 6 sasa zimetumika tumika vipi mimi sijui ila hio ndio bajeti ndio pesa zimeteketezwa jana tu kwa masaaa kadhaaa, huku raia hawana maji.

Huwezi amini jana pale Dodoma zimeteketezwa Billion 6 kisa kupokea matokeo ya sensa, kumbuka kuna watu wamesafairi kutoka mikoa yote ya Tanzania kwenda Dodoma kupokea matokeo ya sensa.

Huyu mama yuko adicted na sherehe sherehe inaonekana Mwenda zake liavyo kuwa ana canceli sherehe za kitaifa yeue alikuwa ana maind sana.

Mama anapenda sherehe sana huyu, fikiria Billion 6 kwa siku wakati kuna raia kule Longido wamenaza kufa kwa njaaa, Dar maji na ya mgao, Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni full mgao wa umeme ila watu wanateketeza Billion 6 kwa masaa kadhaaa na haioni shida kabisa.

Nyakati za nyuma matokeo yalikuwa yana pokelewa vipi? Mbona hakukuwa na sherehe za kupokea matokeo?
una uhakika na unacho kiandika? no data no right to speak
 
Uongo ni 480 Milion,
Pamoja na udhaifu wa serikali zetu ila ukweli Usemwe ulivyo ! Mi ni napinga sana kutangaza matokeo Kwa namna ile wangeitwa hata waandishi wakaambiwa pale Ikulu , tukasevu 480Milion
Kwenye hili kila mtu atakuja na namba yake ila njia sahihi yakutoa iyo ripoti ilikuwa hiyo uliyoisema hakukuwa na haja ya kwenda uwanja wa jamuhuri
Yani viongozi wote walikaa wakalipitisha ilo
 
Hata mimi imenishangaza sana...

Hawa viongozi kuanzia Rais hadi chini ni kana kwamba hawajui taabu na shida wanazopitia wananchi; ukame, ukosefu wa umeme na maji, hali ngumu ya uchumi iliyopelekea kupaa kwa bei za huduma na chakula nk nk...

Majibu ya viongozi hawa siku zote ni "hali ya dunia nzima" au "vita ya Urusi na Ukraine" au "ukosefu wa fedha ktk nchi" na mengine ya namna hiyo. Lakini HII SI KWELI HATA KIDOGO...

Cha ajabu tukio ambalo Rais angeweza kulifanyia Ikulu pasipo kutumia hata senti na dunia nzima ikaelewa kila kitu kwa namna ileile, cha ajabu tukio hilohilo linatengenezewa mazingira ya kula 6bn kwa masaa 3 tu ili mradi tu baadhi ya viongozi waibe kupitia tukio hilo..!

HII HAIKUBALIKI KAMWE KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU...!!

Hivi tujaribu kufikiri, 6bn ingeweza kutatua changamoto ngapi iwapo ingeelekezwa kwenye matatizo ya wananchi...??

HAPANA, HII SASA INATOSHA!!

KWA KWELI HAPA HATUNA VIONGOZI SAHIHI. HAPA TUNA SURA TU ZA BINADAMU LAKINI NDANI YAO WANA ROHO YA SHETANI AMBAYE NI MWIZI, MUUAJI, MTESAJI NA MHARIBIFU..

Ndugu zangu ni kweli kabisa kila mamlaka ya serikali ya nchi fulani iwe mbaya au nzuri, huwa ipo pale kwa kuruhusiwa na Mungu mwenyewe...

Lakini lazima pia tutambue kuwa, mamlaka inayoumiza watu inaweza kufa au kuondoka kwa kumuomba Mungu huyo huyo aliyeiruhusu kuwepo ili aiondoe au afute kabisa uwepo wake..
.

Mungu anasubiri wenye ufahamu wamwombee ili naye afanye. Ndugu zangu hebu tutimizeni wajibu wetu wa kiroho na kitume kuondoa tatizo hili...

Kumbukeni kuwa KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA..

SASA FUATANA NAMI KWENYE MAOMBI HAYA KWA UFUPI KWA WEWE KUTAMKA KAMA ILIVYO...

WEWE TAMKA TU KWA IMANI NA KISHA ENDELEA NA MAJUKUMU YAKO YA KILA SIKU. ANAYEFANYA ULIYOYATAMKA SI WEWE BALI NI MUNGU MWENYEWE KWA MAPENZI YAKE NA KWA WAKATI WAKE. YEYE HAWAHI WALA HACHELEWI KUTENDA. WEWE AMINI TU...!


Baba yetu uliye mbinguni katika Jina la Yesu
, natambua kuwa ni wewe ndiye uliyeiruhusu mamlaka ya serikali ya nchi yetu hii ya Tanzania iwepo kwa mapenzi na kusudi lako maalumu...

Aidha, natambua kuwa ni wewe tu pia ndiwe mwenye uwezo wa kuiondoa mamlaka ya serikali hiyo uliyoiweka mwenyewe pale inaposhindwa kutekeleza wajibu wake kwa watu wako...

Serikali ya Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na kabla ya hapo Hayati John P. Magufuli imeshindwa kutimiza kusudi lako...

Watu wako wanataabika lakini viongozi wa serikali hii wanatumia raslimali ulizotupa vibaya kwa wizi, ufisadi na ubinafsi kwa sababu ya tamaa zao huku watu wako wakitaabika kwa kukosa maji ya kutumia, umeme, na huduma zingine muhimu zote za kijamii...

Baba yetu wa mbinguni, tunakuomba utuondolee laana na balaa lililosababishwa na dhambi za viongozi wetu hawa. Balaa la ukame, ukosefu wa maji na umeme, balaa la watoto wa mitaani na kumong'onyoka kwa maadili ya taifa letu. Mimi ........(taja jina lako) natubu dhambi zote za viongozi wa nchi yangu. Tusamehe Baba. Tumekosa baba. Utuhurumie na tupe REHEMA na NEEMA yako tena na nchi yetu ituzalie matunda yake tena...

Baba yetu uliye mbinguni, sikia maombi yetu tafadhali tunakuomba maana sisi ni watoto wako na kondoo wa malisho yako...

Kama ambavyo ulisikia kilio cha watu wako Israrel waliokuwa utumwani Misri katika mateso ya serikali na watu wa Farao, ndivyo unavyoweza kutusikia na sisi leo...

Israel walipokuomba na kukulilia, ulisikia maombi na kilio chako na kisha ukayaona mateso yao na ukawahurumia na hivyo ukasema utashuka toka mbinguni ili uwaokoe na kuwakomboa watu wako toka ktk mateso ya Farao...

Nami nakuomba leo. Nami nakulilia leo. Nami nakusihi leo uyaone mateso yangu na wananchi wenzake. Njoo utukomboe dhidi ya Farao wetu leo ambaye ni serikali hii ya sasa. Kwa nguvu na uwezo wetu hatuwezi. Bali kwa nguvu na uwezo ulio ktk Kristo Yesu, yote yanawezekana..

Asante kwa kunisikia. Asante kwa kunijubu. Asante kwa kunihurumia mimi na nchi yangu nzuri ya Tanzania..

KATIKA JINA LA YESU KRISTO, naomba na kushukuru. Ameen!!


Baada ya kuwa umeomba kwa kutamka maneno haya kwa imani, endelea na kazi zako za kila siku. Utaona mkono wa Bwana ukienda makuu. Wewe AMINI TU...

KWA WANADAMU HAYAWEZEKANI........LAKINI KWA MUNGU YOTE YANAWEZEKANA.. Amini tu..
Duuuh! Uncle hapo umeshuka kweli kweli!
 
Back
Top Bottom