Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
- Thread starter
-
- #41
Kuna wasi wasi pia uwezo wan chi za magharibi kutoa misaada kwa nchi zetu nao utapungua kutokana na wao kutoa fedha nyingi kuokoa vyombo vya fedha vya nchi zao.
Jivi karibuni wametangaza kutumia dola tril 1.8 kuokoa beniki zao. Wakitumia kiasi kama hicho, misaada inaweza kupungua.
Inaweza kusababisha kupungua kwa mikopo kutoka nje.
Kuna wasi wasi wa uwezekano wa kupungua kwa uwekezaji kutoka nje kwa sababu na wao wameathirika. Hata uwekezaji kutoka Afrika utapungua kwa sababu wanaowekeza wana uhusiano na makampuni ya nje. Hata ndani uwekezaji utapungua kutokana na taasisi zetu kupungua uwezo wa kukopesha. Kuna uwezekano wa,kupungua kwa fedha zinazotumwa na Watanzania kutoka nje.
Nasema ili mfahamu kuwa kuna mazingira magumu lakini ni hali tunayoitambua na serikali inaifuatilia kwa karibu ili kupunguza atharui zake
Tunafanya jitihada za kusaidia sekta binafsi kupanua wigo wa masoko. Tumeanza kuelekea China, India, Brazili na dnani ya afrika, tumeshaanza kuomba wahisani wasipunguze misadaa kutokana na misukosuko hiyo.
Jivi karibuni wametangaza kutumia dola tril 1.8 kuokoa beniki zao. Wakitumia kiasi kama hicho, misaada inaweza kupungua.
Inaweza kusababisha kupungua kwa mikopo kutoka nje.
Kuna wasi wasi wa uwezekano wa kupungua kwa uwekezaji kutoka nje kwa sababu na wao wameathirika. Hata uwekezaji kutoka Afrika utapungua kwa sababu wanaowekeza wana uhusiano na makampuni ya nje. Hata ndani uwekezaji utapungua kutokana na taasisi zetu kupungua uwezo wa kukopesha. Kuna uwezekano wa,kupungua kwa fedha zinazotumwa na Watanzania kutoka nje.
Nasema ili mfahamu kuwa kuna mazingira magumu lakini ni hali tunayoitambua na serikali inaifuatilia kwa karibu ili kupunguza atharui zake
Tunafanya jitihada za kusaidia sekta binafsi kupanua wigo wa masoko. Tumeanza kuelekea China, India, Brazili na dnani ya afrika, tumeshaanza kuomba wahisani wasipunguze misadaa kutokana na misukosuko hiyo.