Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Nimebubujikwa machozi ya furaha Kwa kuwaachia huru hawa watu
 
Taarifa nilizozipata hivi punde ni kwamba rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ameamuachia huru Babu Seya.


Taarifa zaidi zitawajia.
 
Jamaniii aiseeee nimefurahi wale watu kuachiwa huru,. Hata kama walifanya unyama lakini wamekoma na wamejifunza sasa warudi kwao wasirembe tena hapa bongo,...dah,
 
!
!
Mange Kimambi atambuliwe kama *Mheshimiwa Nabii Mtume Mange Kimambi* hili la Familia ya Babu Seya alilitabiri kitambo kidogo
 
Kwa mtizamo wangu hotuba ya leo ilikuwa nzuri sana. Hongera kwa babu Seya na familia yenu, angalau mmetufunza kutokukata tamaa katika kupigania mustakabali wetu
 
ukitaka ujue kwamba hawa pipo nyota zao zina nguvu basi wafanye Tamasha siku ya krismasi waliite "THE RETURN OF BABU SEYA" wataingiza mitonyo balaaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…