Return Of Undertaker JF-Expert Member Joined Jun 12, 2012 Posts 4,572 Reaction score 26,885 Sep 1, 2020 #1 Sherehe za ubatizo, Ndoa, kifo, mahari,hitma nk Sasa zinatozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako. Hii ni aibu Kubwa kwa Serikali hii. https://t.co/pDXnXxa4zD
Sherehe za ubatizo, Ndoa, kifo, mahari,hitma nk Sasa zinatozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako. Hii ni aibu Kubwa kwa Serikali hii. https://t.co/pDXnXxa4zD
doama JF-Expert Member Joined Nov 29, 2013 Posts 808 Reaction score 650 Sep 1, 2020 #2 Wametumia kigezo gani mpaka kuanza kuzitoza
LIMBOMAMBOMA JF-Expert Member Joined Oct 3, 2017 Posts 10,482 Reaction score 14,007 Sep 1, 2020 #3 Duh, tumekwishaaa
denooJ JF-Expert Member Joined Mar 31, 2020 Posts 18,509 Reaction score 68,228 Sep 1, 2020 #4 Serikali inayowaza mambo madogo kila siku, wanazidi kumkamua mwananchi ambae hawajamuongezea mshahara miaka yote mitano, halafu wanajiita serikali ya wanyonge, sijui wanyonge wa nchi gani.
Serikali inayowaza mambo madogo kila siku, wanazidi kumkamua mwananchi ambae hawajamuongezea mshahara miaka yote mitano, halafu wanajiita serikali ya wanyonge, sijui wanyonge wa nchi gani.
euca JF-Expert Member Joined Apr 6, 2015 Posts 3,811 Reaction score 4,178 Sep 1, 2020 #5 Mbona sioni walipoandika ubatizo na hitima
F FUSO JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 34,181 Reaction score 41,563 Sep 1, 2020 #6 Hii sasa ni zaidi ya Kodi ya Kichwa.
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 20,925 Reaction score 51,688 Sep 1, 2020 #7 Kilichobaki ni kudai kodi kwenye kila bao kaazi kweli
Ileje JF-Expert Member Joined Dec 20, 2011 Posts 9,524 Reaction score 13,682 Sep 1, 2020 #8 euca said: Mbona sioni walipoandika ubatizo na hitima Click to expand... Shuleni ulisomea ujinga? Unafahamu maana ya sherehe za kijamii?
euca said: Mbona sioni walipoandika ubatizo na hitima Click to expand... Shuleni ulisomea ujinga? Unafahamu maana ya sherehe za kijamii?
Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Sep 1, 2020 #9 Return Of Undertaker said: Sherehe za ubatizo, Ndoa, kifo, mahari,hitma nk Sasa zinatozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako. Hii ni aibu Kubwa kwa Serikali hii. https://t.co/pDXnXxa4zD View attachment 1555667 Click to expand... Bwege sana ww Hiyo ni tozo ya kibali....
Return Of Undertaker said: Sherehe za ubatizo, Ndoa, kifo, mahari,hitma nk Sasa zinatozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako. Hii ni aibu Kubwa kwa Serikali hii. https://t.co/pDXnXxa4zD View attachment 1555667 Click to expand... Bwege sana ww Hiyo ni tozo ya kibali....
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Sep 1, 2020 #10 "Naunga mkojo oga"....Tuna mbinu buni (kumradhi) "tuna mbuni binu"
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Sep 1, 2020 #11 Kwanini wanaleta haya wakati huu wa kampeni?!