Sherehe za ufunguzi Afcon 2019 Nchini Misri nakataa Misri sio sehemu ya Afrika

Enzi za Utawala wa Nyerere, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri alikuja Tanzania.

Akamwambia Nyerere.

"Hii ni mara yangu ya kwanza kufika Afrika".

Nyerere alicheka sana.
Mkuu upo
 
kwa hiyo unataka kusema kitu duni ndo cha Afrika?,kwa ni hiyo opening ceremony ni ya Misri au CAF?,kama nchi ndo inafanya hiyo sherehe iwe bora basi South Afrika walifanya vyema zaidi.....punguza kujidharau
 
kwa hiyo unataka kusema kitu duni ndo cha Afrika?,kwa ni hiyo opening ceremony ni ya Misri au CAF?,kama nchi ndo inafanya hiyo sherehe iwe bora basi South Afrika walifanya vyema zaidi.....punguza kujidharau
Kwahyo pale kwa mchina uzinduzi wa michuano ya under 17 ilikuwa CAF au TFF?
 
Afrika mkuu ni chini ya jangwa LA Sahara huku ndo kwao malaria na magonjwa ya kimasikini tunaugua.kule Afrika kaskazini msiwe mnajiona kuwa mko nao sawa kisa mnakalia bara moja. Sure sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…