Sherehe za ufunguzi Afcon 2019 Nchini Misri nakataa Misri sio sehemu ya Afrika

nimeangalia mkuu ama hakika kwa nchi za kiafrica huenda ikachukua muda mrefu sana kupata kushuhudia sherehe zaufunguzi za kiwango hiki.
Nisaidie kuwatag wabishi wote kwenye hii thread.
 
Sisi ni wapumbavu sana, timu yetu imefuzu hakuna hata channel ya taifa inaonyesha, wako wanaonyesha matakataka, kazi kuimba uzalendo uzalendo wakati hawawezi kuutekeleza kwa vitendo, pumbaafu kabisa
Mkuu punguza jazba.
 
Inaaminika mabara yote yalikuwa pamoja. Baadae sijui mungu aliwaza nini akatenganisha na maji
 
Tibisii licha ya kuwa taifa stars ipo katika hayo mashindano lakini wanashindwa kuonesha kabisa, wakati KBC ya Kenya na RwandaTv wanaonesha mubashara kabisa
 
Jamaa wamejiandaa sana,namuona salah katokelezea hapa ,ngoja tushuhudie mtanange.
 
Enzi za Utawala wa Nyerere, Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri alikuja Tanzania.

Akamwambia Nyerere.

"Hii ni mara yangu ya kwanza kufika Afrika".

Nyerere alicheka sana.
Teh ! I[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…