Sherehe za ufunguzi Afcon 2019 Nchini Misri nakataa Misri sio sehemu ya Afrika

Msinitenge jamani kwaiyo mimi sio muafrika? Siopoa
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
 
Misri ni afrika na Ilikaliwa na kutawaliwa na mtu Mweusi kwa miaka maelfu
 
GDP ya Afrika inabebwa na nchi nne tu( karibu 80%) Nigeria, Afrika kusini, Misri na Angola. Tuko tofauti sana.
Hahahaha mkuu huwezi kuamini mimi ni mpenzi wa kuangalia TV za Angola hawa jamaa wanatarajia mpaka 2024 umeme uwe umewafikia wananchi wao kwa asilimia 51%!

Yani ninahisi hawa jamaa maendeleo yao hayajatanuka yamejifungia, sisi tunakimbilia 85% ya kusambaza maumeme japo tunadanganywa na viongozi kuwa taifa la Tanzania ni masikini
 
Kwa Hiyo Ukikataa Wewe Inaondoa Uhalisia Kwamba Misri Sio Sehemu Ya Bara La Afrika?
 
Kwahiyo unaamini kua Tanzania siyo nchi masikini? yaani umeme unawekwa kwenye nyumba ya tembe alafu unaliita 85%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…