Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania imejaliwa kila aina ya rasilimali ,ila wamekosa rasilimali moja ya muhimu ambayo ukiikosa hiyo hizo zingine zinakuwa ni kazi bure na rasilimali yenyewe ni akiliTanzania sio masikini kabisa, ila rasilimali zetu zina wenyewe sisi wengine tuna ardhi isiyo na faida hata kwa kilimo.
Angola haitufikii hata theluthi kama rasilimali zingekuwa zinatumika ipasavyo nadhani tungekuwa miongoni mwa nchi mbili tajiri Africa.
Ndio huyu huyuHuyu huyu aliye kwapua 1.5 T?
Sisi ni wapumbavu sana, timu yetu imefuzu hakuna hata channel ya taifa inaonyesha, wako wanaonyesha matakataka, kazi kuimba uzalendo uzalendo wakati hawawezi kuutekeleza kwa vitendo, pumbaafu kabisa