Sheria ambazo hazijaandikwa lakini kila mtu anapaswa kujua na kuzifuata

Sheria ambazo hazijaandikwa lakini kila mtu anapaswa kujua na kuzifuata

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
1. Usizungumze na mtu aliyevaa earphones Kimsingi unapoteza wakati wako.

IMG_20200928_140420_490.jpg



2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula.

3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili

4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting). It sounds like haupendezwi na mazungumzo hayo na inaakisi dharau kwa kweli
IMG_20200928_140346_611.jpg


5. Ikiwa zipu ya msichana iko wazi au nguo yake ya ndani inaonekana Usiitazame.

6. Ikiwa kuna mtu amekupa zawadi onyesha ushirikiano hata kutabasamu tu

7.Subiri watu watoke kwanza ndio wewe uingie
IMG_20200928_140407_310.jpg



8. Usitoe ushauri kwa watu hadi uombwe

9. Fuata foleni.
IMG_20200928_140546_774.jpg



10. Wape heshima sawa wahudumu na wafanyikazi walio chini na juu yako .
 
usijambe kwenye usafiri wowote wa public bali nenda kajambie kwako...
ukiwa unaongea na ukijua mate huruka kaa kimya yaani SHUT THE FUKc UP!!..
usitongoze mwanamke kwa dhumuni la kumkula na kukimbia kama huwezi kuwa nae kwa makubaliano acha tamaa muache aendelee na mishe zake
 
1. Usizungumze na mtu aliyevaa earphones Kimsingi unapoteza wakati wako.

View attachment 1583484


2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula.

3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili

4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting). It sounds like haupendezwi na mazungumzo hayo na inaakisi dharau kwa kweli
View attachment 1583486

5. Ikiwa zipu ya msichana iko wazi au nguo yake ya ndani inaonekana Usiitazame.

6. Ikiwa kuna mtu amekupa zawadi onyesha ushirikiano hata kutabasamu tu

7.Subiri watu watoke kwanza ndio wewe uingie
View attachment 1583487


8. Usitoe ushauri kwa watu hadi uombwe

9. Fuata foleni.
View attachment 1583488


10. Wape heshima sawa wahudumu na wafanyikazi walio chini na juu yako .
Demu akiniandikia K
Atarajie kupata k mfurulizo
 
Back
Top Bottom