Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
1. Usizungumze na mtu aliyevaa earphones Kimsingi unapoteza wakati wako.
2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula.
3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili
4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting). It sounds like haupendezwi na mazungumzo hayo na inaakisi dharau kwa kweli
5. Ikiwa zipu ya msichana iko wazi au nguo yake ya ndani inaonekana Usiitazame.
6. Ikiwa kuna mtu amekupa zawadi onyesha ushirikiano hata kutabasamu tu
7.Subiri watu watoke kwanza ndio wewe uingie
8. Usitoe ushauri kwa watu hadi uombwe
9. Fuata foleni.
10. Wape heshima sawa wahudumu na wafanyikazi walio chini na juu yako .
2. Usizungumze wakati wa kutafuna au kula.
3.Usiweke picha zako kwenye mitandao ya kijamii wakati umetoa ombi la likizo kazin kuhusu afya yako ya mwili
4. Usitumie "k, hmm" katika mazungumzo yako(chatting). It sounds like haupendezwi na mazungumzo hayo na inaakisi dharau kwa kweli
5. Ikiwa zipu ya msichana iko wazi au nguo yake ya ndani inaonekana Usiitazame.
6. Ikiwa kuna mtu amekupa zawadi onyesha ushirikiano hata kutabasamu tu
7.Subiri watu watoke kwanza ndio wewe uingie
8. Usitoe ushauri kwa watu hadi uombwe
9. Fuata foleni.
10. Wape heshima sawa wahudumu na wafanyikazi walio chini na juu yako .