Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro "Sheria iko wazi.
1. Awe raia halisi wa Tanzania
2. Umri
3. Diplomasia
4. Makampuni.
Lakini zaidi tunazingati mwombaji awe na Akili timamu na zaidi awe na uwezo wa kuimiliki na kuitumia silaha. Kuna mtu akifika miaka 50 uwezo wake wa akili kuimiliki silaha unakuwa haupo tena".
Amesema "Kilichotokea Sinza ni mtu anapewa silaha kwa madhumuni ya kujilinda. Sheria inasema anayemiliki silaha hatakiwi kuwa na hasira, awe na tabia njema yaani kutokuwa na kumbukumbu za kihalifu. Kabla ya kupewa silaha watakufuatilia kazini kwako au unapoishi na wanafanya upelelezi.
Clouds360
Pia soma > Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania
1. Awe raia halisi wa Tanzania
2. Umri
3. Diplomasia
4. Makampuni.
Lakini zaidi tunazingati mwombaji awe na Akili timamu na zaidi awe na uwezo wa kuimiliki na kuitumia silaha. Kuna mtu akifika miaka 50 uwezo wake wa akili kuimiliki silaha unakuwa haupo tena".
Amesema "Kilichotokea Sinza ni mtu anapewa silaha kwa madhumuni ya kujilinda. Sheria inasema anayemiliki silaha hatakiwi kuwa na hasira, awe na tabia njema yaani kutokuwa na kumbukumbu za kihalifu. Kabla ya kupewa silaha watakufuatilia kazini kwako au unapoishi na wanafanya upelelezi.
Clouds360
Pia soma > Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania