Wanasheria/wachangiaji nimewafuatilia kwa umakini juu ya hujumu tata iliyotolewa na mh. Hakimu. Ninakubaliana na hoja mbalimbali mlizo toa. Ni kweli ukimsiliza vizuri huyo mama/dada utagundua kuwa kuna mapungufu katika kuestablish offences ukizingatia kosa hilo limejirudia na mtu huyohuyo,mahali palepale hivyo ni continuation act.sasa km upande wa mashitaka ulichemsha kuandika charges ni dhahili counts hazijupangikiwa vizuri na jupelekea kuandikwa counts chache kulinganisha na offences alizo commit. Kwa hiyo nakubaliana na wa hangiaji kuwa mlalamikaji awasiliane na mwanasheria/ mwenxesha mashitaka ili akate rufaa. Very sad , lakini ndy tatizi la wapelezi wetu na waendesha mashitaka wetu are not serious, they take everything for granted.kazi ya mahakama ni ndogo sana, km upande wa mashitaka prove beyond reasonable doubt. Mahakama jukumu lake ni kuona kama kuna prima facio case only. Na zipo katika counts zipi naadaya hapo upande wa mashitaka kazi yao ni kuprove or disapprove. Asante kwa leo.