Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Kuna kijiji nilienda na nilikaa hapo kwa muda fulani , kipindi nikiwa hapo nilishuhudia baadhi ya wakazi wa kijiji hicho wakiambukizana magonjwa kwa Makusudi kwa mfumo huu, unakuta mwanaume ana mchepuko nje ambae ni mke wa mtu anakuwa na mahusiano nae pamoja na mabinti zake.
Kuna Mzee mmoja anamiliki mabucha ya nyama na ni mgonjwa wa siku nyingi amekuwa akiagiza vijana wa Bodaboda wamletee vibinti vidogo kwa ujira wa kg moja ya nyama. Hapa inaonyesha ni makusudi anafanya kuambukiza watoto wadogo.
Kuna Baba mmoja bila kujua alikuwa na mahusiano na mwanamke ambae alikuwa mgonjwa wa siku nyingi, baadaye akagundua kuwa huyo mama ni muathirika na ameshaambukizwa alienda kumbaka binti wa huyo mama aliyekuwa na umri wa miaka 12 , na kumpatia ugonjwa hivi sasa binti amepevuka na anasambaza kwa watu makusudi hasa wale wasiomjua, na kwa wageni wanaoingia kijijini hapo.
Hayo ni machache kati ya niliyoyaona
Huu mzunguko wa hivi upo hadi maeneo mengine ya nchi hii.
Kuna Mzee mmoja anamiliki mabucha ya nyama na ni mgonjwa wa siku nyingi amekuwa akiagiza vijana wa Bodaboda wamletee vibinti vidogo kwa ujira wa kg moja ya nyama. Hapa inaonyesha ni makusudi anafanya kuambukiza watoto wadogo.
Kuna Baba mmoja bila kujua alikuwa na mahusiano na mwanamke ambae alikuwa mgonjwa wa siku nyingi, baadaye akagundua kuwa huyo mama ni muathirika na ameshaambukizwa alienda kumbaka binti wa huyo mama aliyekuwa na umri wa miaka 12 , na kumpatia ugonjwa hivi sasa binti amepevuka na anasambaza kwa watu makusudi hasa wale wasiomjua, na kwa wageni wanaoingia kijijini hapo.
Hayo ni machache kati ya niliyoyaona
Huu mzunguko wa hivi upo hadi maeneo mengine ya nchi hii.